Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nicky Minaj awatumbuiza raia wa Angola

Nicki Minaj aliwatumbuiza maelfu ya mashabiki katika mji mkuu wa Angola Luanda licha ya shinikizo kutoka kwa wanaharakati wa kupigania haki za kibinadamu asiandae tamasha hilo la Krismasi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Minaj performs controversial Angola gig

US rapper Nicki Minaj goes ahead with a concert in Angola despite a human rights group asking her to cancel it.

 

9 years ago

BBC

Nicki Minaj urged to cancel Angola gig

Human Rights Foundation asks US singer Nicki Minaj to cancel her performance in Angola on Saturday, saying her payment would come from government corruption.

 

9 years ago

Bongo5

Wanaharakati wapinga show ya Nicki Minaj nchini Angola

Nicki-Minaj

Wanaharakati wa haki za binadamu wamepinga kufanyika kwa show ya Nicki Minaj nchini Angola.

Nicki-Minaj

Rapper huyo anatarajiwa kutumbuiza Jumamosi hii, December 19 kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel, inayomilikiwa na familia ya rais wa nchi hiyo, José Eduardo dos Santos.

Rais huyo anadaiwa kujikusanyia mali nyingi za nchi hiyo hususan mafuta na almasi kwaajili ya familia yake.

Rais wa taasisi ya Human Rights Foundation, Thor Halvorssen, amemuomba Minaj kwenye barua...

 

9 years ago

Bongo5

Nicki Minaj kutumbuiza Angola licha ya wanaharakati kuipinga show yake

12327969_468705609983531_2040894811_n

Nicki Minaj atatumbuiza nchini Angola Jumamosi hii licha ya taasisi ya Human Rights Foundation kuipinga show hiyo.

12327969_468705609983531_2040894811_n

Minaj amethibitisha show hiyo kwenye Instagram.

“ANGOLA! R u ready for the show?!???! Can’t wait to see u guys! Get your tickets here,” ameandika rapper huyo wa YMCMB.

Baadaye rapper huyo aliandika kwenye Twitter:

“Every tongue that rises up against me in judgement shall be condemned.”

Minaj atatumbuiza kwenye party ya Christmas iliyoandaliwa na kampuni ya simu ya Unitel,...

 

9 years ago

MillardAyo

Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?!

Msanii kutokea Marekani, Nicki Minaj jana aliziandika headlines kwenye kurasa za burudani baada ya taarifa kusambaa kuwa amepigwa stop kwenda kutoa show Angola jumamosi ya tarehe 19 December wiki hii, kutokana na Wanaharakati wa haki za binadamu nchini Angola kupinga kufanyika kwa show hiyo. Wanaharakati hao walimuandikia Nicki Minaj barua kumuomba rapper huyo asitishe show […]

The post Nicki Minaj alipigwa STOP kuperform Angola jumamosi hii! Show itaendelea?! appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video)

Rapper wa kike mrembo kabisa Nicki Minaj anakuwa mmoja ya mastaa wa Marekani na mastaa wakubwa Duniani waliogonga vichwa vya habari kwa kufanya show za nguvu kwenye nchi za Africa. Mzigo mzima wa Nicki Minaj ulikuwa ni Angola weekend iliyopita na hapa nina kipande cha video kuanzia Nicki anatua Airport, show yake kwenye stage, na […]

The post Dakika nne za kushuhudia mwanzo mwisho shangwe za Angola alivyotua Nicki Minaj..(+Video) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Khadija Kopa awatumbuiza mashabiki Uingereza

Wakati tunasherehekea Eid Ul Fitri kote duniani, kwa wale waliosherehekea siku ya Ijumaa na wale waliosherehekea siku ya jumamosi, mbwembwe na shangwe ni zile zile, Malkia wa Twaarab Afrika Mashariki na Kati Khadija Kopa yuko Uingereza kuwatumbuiza mashab

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Flaviana Matata na Rosemary Kokuhilwa wajichanganya na Paris na Nicky Hilton kwenye New York Fashion Week

Mrembo wa kimataifa kutoka Tanzania, Flaviana Matata pamoja na stylist wa Tanzania aishiye nchini Marekani, Kokuhilwa Rosemary Jumanne hii walijichanganya na mastaa wengine kwenye New York Fashion Week. Kutoka Kushoto, mwanamitindo Tori Praver, Paris, Nicky na Flaviana Matata Flaviana ambaye hivi karibuni alifunga ndoa naye pia anaishi jijini humo. Wawili hao walijikuta wamekaa kwenye mstari […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Kenya: Raia alichapwa viboko na raia wa China baada ya kusemekana alichelewa kazini

Kenya raia wanne wa Uchina wamekamatwa na polisi Kenya baada ya kusambaa kwa video mtandaoni ikionesha mkenya akichapwa viboko.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani