Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rais wa Brazil Dilma matatani

Mahakama nchini Brazil imebaini kuwa Rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff amekiuka sheria za usimamizi wa akaunti ya bajeti ya mwakajana.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS DILMA ROUSSEFF KUIONGOZA TENA BRAZIL

Rais wa Brazil kutokachama cha Wafanyakazi, Dilma Rousseff. Dilma Rousseff amejipatia ushindi kwenye duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini Brazil, baada ya kumshinda kwa taabu hasimu wake wa kisiasa  Aecio Neves aliyegombea kwa tiketi ya Brazilian Social Democracy Party (PSDB) kwa asilimia 51.6 ya kura zilizopigwa. Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Brazil  imetangaza kuwa, Neves amejipatia asilimia 48.4 ya kura zote...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dilma Rousseff ashinda tena Urais Brazil

Rais wa Brazil Dilma Rousseff amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo, katika uchaguzi uliojaa ushindani mkali.

 

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: Airport trouble for Dilma as World Cup nears

Brazil’s government played down problems with its aging airports, many of which are being renovated even as the World Cup looms from next week.

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to Her Excellency Dilma Rousseff on the occasion of her re-election as President of the Federative Republic of Brazil

H.E. Dilma Rousseff, President of BrazilH.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to Her Excellency Dilma Rousseff on the occasion of her re-election as President of the Federative Republic of Brazil.
The message reads as follows.
“Her Excellency Dilma Rousseff  The President of the Federative Republic of Brazil,  Brasilia,  BRAZIL.
I have received with great pleasure the news of your re-election to the highest office of your...

 

11 years ago

BBCSwahili

Washukiwa wa kashfa ya tiketi matatani Brazil

Watu 12 wamesimamishwa kazi kutokana na uuzaji haramu wa tiketi za kutazama mechi za kombe la Dunia.

 

9 years ago

Bongo5

Missy Elliot matatani kwa kukwepa kutumbuiza Brazil licha ya kulipwa fedha

Rapper Missy Elliott anakabiliwa na kesi ya madai ya $75,000 kwa kudaiwa kukwepa kutokea kwenye TV ya Brazil na kutumbuiza kwenye show mbili. Madai hayo yanadai kuwa mshindi huyo wa tuzo tano za Grammy alilipwa $75,000 kama malipo ya awali mwaka 2012 kutumbuiza jijini Rio na Porto Alegre mwezi November. Kama sehemu ya makubaliano hayo, […]

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Rais Zuma matatani

Mwanawe Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, Duduzane Zuma huenda akashitakiwa kwa kuendesha vibaya gari na kumuua mwanamke mmoja

 

11 years ago

GPL

MATATANI KWA KUMWITA RAIS KIAZI

Frank Bwalya. MWANASIASA wa Chama cha upinzani nchini Zambia cha Alliance for a Better Zambia (ABZ), Frank Bwalya, amekamatwa  na polisi na kufunguliwa  mashtaka kwa madai ya kumkashifu rais wa nchi hiyo, Michael Satta, kwa kumwita kiazi. Bwalya anadaiwa kumwita Rais Satta kuwa ni ‘Chumbu Mushololwa’, akimaanisha kiazi, kupitia kituo kimoja cha redio nchini humo. Katika lugha ya Kibemba, maneno hayo yana...

 

11 years ago

BBCSwahili

Matatani kwa kumfananisha Rais na Kiazi

Kiongozi wa upinzani Zambia, amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafulia jina Rais Sata baada ya kumfananisha na Viazi vitamu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani