Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MATATANI KWA KUMWITA RAIS KIAZI

Frank Bwalya. MWANASIASA wa Chama cha upinzani nchini Zambia cha Alliance for a Better Zambia (ABZ), Frank Bwalya, amekamatwa  na polisi na kufunguliwa  mashtaka kwa madai ya kumkashifu rais wa nchi hiyo, Michael Satta, kwa kumwita kiazi. Bwalya anadaiwa kumwita Rais Satta kuwa ni ‘Chumbu Mushololwa’, akimaanisha kiazi, kupitia kituo kimoja cha redio nchini humo. Katika lugha ya Kibemba, maneno hayo yana...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Matatani kwa kumfananisha Rais na Kiazi

Kiongozi wa upinzani Zambia, amekamatwa na kufunguliwa mashitaka ya kumchafulia jina Rais Sata baada ya kumfananisha na Viazi vitamu

 

11 years ago

GPL

BODABODA WAMTIBUA LOWASSA KUMWITA RAIS

Stori: Issa Mnally
WAZIRI Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa juzi Jumapili alitibuliwa na waendesha pikipiki (Bodaboda) wa wilaya zote za  jijini Dar Salaam katika Viwanja wa Leaders baada ya kusukuma gari lake huku wakiimba ‘rais, rais, rais.’ Lowassa ambaye ni Mbunge wa Monduli alionekana kutibuka alipopewa nafasi ya kuzungumza  katika mkutano huo uliokuwa maalum kwa ajili ya kuzindua saccos ya waendesha bodaboda...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanawe Rais Zuma matatani

Mwanawe Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma, Duduzane Zuma huenda akashitakiwa kwa kuendesha vibaya gari na kumuua mwanamke mmoja

 

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Brazil Dilma matatani

Mahakama nchini Brazil imebaini kuwa Rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff amekiuka sheria za usimamizi wa akaunti ya bajeti ya mwakajana.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiazi mbatata kinazuia Mimba?

je ni kweli njia za asili zinaweza kuzuia mimba? je kiazi mbatata? kinaweza kuzuia mimba? jaribio limefanyika nchini Colombia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiazi chamea ndani ya kizazi

Kiazi kilipatikana kikimea ndani ya kizazi cha mwili wa mwanamke mmoja baada ya kujaribu kukitumia kama kifaa cha kuzuia mimba.

 

11 years ago

GPL

MESENJA MATATANI KWA UBAKAJI

Stori: Haruni Sanchawa, Kisarawe
DUNIA inaelekea ukingoni. Mesenja katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Pwani, Mud Yusuph yu matatani kwa madai ya ubakaji wa denti wa darasa la kwanza,10,  (jina linahifadhiwa). Kwa mujibu wa chanzo ndani ya ofisi hiyo, mtuhumiwa huyo (55) alidaiwa kutenda kosa hilo nyumbani kwake Kisarawe, Januari 20 mwaka huu.
Siku ya tukio inadaiwa mtoto huyo alikwenda nyumbani kwa mtumishi huyo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Facebook matatani kwa utafiti

facebook inachunguza kwa kuwafanya watumiaji wake utafiti bila ya wao wenyewe kujua

 

10 years ago

Habarileo

Mwinjilisti matatani kwa wahamiaji haramu

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey KamwelaJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Mwinjilisti wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Usharika wa Chekereni wilayani Moshi vijiji, Mbazi Manase (36) kwa tuhuma za kuwahifadhi wahamiaji haramu wanne raia wa Ethiopia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani