Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MESENJA MATATANI KWA UBAKAJI

Stori: Haruni Sanchawa, Kisarawe
DUNIA inaelekea ukingoni. Mesenja katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Pwani, Mud Yusuph yu matatani kwa madai ya ubakaji wa denti wa darasa la kwanza,10,  (jina linahifadhiwa). Kwa mujibu wa chanzo ndani ya ofisi hiyo, mtuhumiwa huyo (55) alidaiwa kutenda kosa hilo nyumbani kwake Kisarawe, Januari 20 mwaka huu.
Siku ya tukio inadaiwa mtoto huyo alikwenda nyumbani kwa mtumishi huyo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kizimbani kwa ubakaji


NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa ubakaji

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemhukumu Hashimu Ahamada (48) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kushitakiwa kwa kesi ya ubakaji na ushahidi kukamilika.

 

11 years ago

Habarileo

Miaka 30 jela kwa ubakaji

MKAZI wa kijiji cha Kigonsera kata ya Kigonsera wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, Anton Ndimbo (33) amehukumiwa kwenda jela miaka 30 kutokana na kupatikana na kosa la ubakaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji afungwa kwa ubakaji

>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbasha kizimbani kwa ubakaji

Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara, Emmanuel Mbasha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa mashtaka ya ubakaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Kikongwe mbaroni kwa ubakaji

Polisi mkoani Klimanjaro inamshikilia mzee Mungai Molel(75) kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 11 wa shule ya msingi Okaseni na kumjeruhi vibaya sehemu za siri.

 

10 years ago

BBCSwahili

Apigwa mawe kwa ubakaji Somalia

Kundi la Al Shabaab limempiga mawe hadi kufa mwanamume mmoja nchini Somalia.

 

11 years ago

GPL

MWANAMKE AMTETEA MUMEWE KWA UBAKAJI

Thompson akiwa na mkewe Adriana. Adriana Ford kushoto akiwa na Thompson .…

 

10 years ago

BBCSwahili

Josh McNary atuhumiwa kwa ubakaji

Josh McNary, kutoka timu ya Indianapolis colts ambaye anakamata nafasi ya ulinzi ,anakabiliwa na tuhuma za ubakaji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani