MWANAMKE AMTETEA MUMEWE KWA UBAKAJI
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2014/05/06/article-2621567-1D9EE47200000578-983_634x470.jpg?width=634)
Thompson akiwa na mkewe Adriana. Adriana Ford kushoto akiwa na Thompson .…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q*0FqWTixVIApSFc8Dtef94foYuNO89fmmM4tVS34IQuvImNyg*JOxZAaoM1Oau60L14ucnmtaWb8vRUlIiFHI0hXfLshu2t/mke.jpg)
MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?-2
KARIBUNI tena na tena mashabiki wa safu hii ya ukweli inayozungumzia maisha kwa ujumla.
Wiki iliyopita tulianza na mada yenye kichwa cha habari hapo juu ‘Mwanamke akioelewa kuna ulazima wa kutumia jina la ukoo wa mumewe? Mada hii ni pana, nilifafanua mengi likiwemo suala la asili ya wanawake kuitwa kwa majina ya waume zao. Nikatoa mfano wa wanawake maarufu ambao wanatumia majina ya ukoo wa waume zao, wakiwemo wake wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDKwYG4GNniWc5vCDiss5n6BH37DfkmxZpkIpmL8tPo2CVvHJg*B8fPr5zkx3BCeyrukdlP3*aPfBV1AyXECz9Hk/mahaba.jpg)
MWANAMKE AKIOLEWA KUNA ULAZIMA AITWE JINA LA UKOO WA MUMEWE?
KARIBUNI tena na tena, wasomaji wa safu hii motomoto inayozungumzia maisha kwa ujumla. Lengo sa safu hii ni kuwekana sawa katika mazingira ya maisha ya uhusiano tunayoishi.
Mada yetu ya leo imetokana na kuzidi kushamiri kwa hoja kwamba je, mwanamke akishaoelewa kuna umuhimu wa kuitwa kwa jina la ukoo wa mumewe?Mfano, awali mwanamke aliitwa Julieth Thomas Rupia, akaolewa na Samuel Aloyce Masumbuko. Je, Julieth akishaolewa aitwe...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper09 Sep
Kizimbani kwa ubakaji
NA EMMANUEL MOHAMED
MKAZI wa Dar es Saalam Juma Omary, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni kujibu shitaka la ubakaji.
Omary (65), alisemewa shitaka hilo jana, mahakamani hapo na Mwendesha Mashitaka Faustine Sylvester mbele ya Hakimu Boniphace Lihamwike.
Sylvester alidai kuwa mshitakiwa alitenda kosa hilo Agosti 19, mwaka huu, muda usiofahamika, katika mtaa wa Mkunguni, Kinondoni.
Mshitakiwa alikana shitaka hilo na alirudishwa rumande, baada ya kushindwa kutimiza...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3vKQkh-FlonfI5tccgFjby2B0RctAMlRM*J7z70awJVWXP2IoFVbtjl8JN-Qv6Tr4UQxi6jJLTFvQ5AP0Vu-zFreG91z96cp/MESENJA.jpg?width=650)
MESENJA MATATANI KWA UBAKAJI
Stori: Haruni Sanchawa, Kisarawe
DUNIA inaelekea ukingoni. Mesenja katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Pwani, Mud Yusuph yu matatani kwa madai ya ubakaji wa denti wa darasa la kwanza,10, (jina linahifadhiwa). Kwa mujibu wa chanzo ndani ya ofisi hiyo, mtuhumiwa huyo (55) alidaiwa kutenda kosa hilo nyumbani kwake Kisarawe, Januari 20 mwaka huu.
Siku ya tukio inadaiwa mtoto huyo alikwenda nyumbani kwa mtumishi huyo...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Mbasha kizimbani kwa ubakaji
Mwimbaji wa nyimbo za Injili na mfanyabiashara, Emmanuel Mbasha amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwa mashtaka ya ubakaji.
11 years ago
Habarileo01 Mar
Jela miaka 30 kwa ubakaji
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imemhukumu Hashimu Ahamada (48) kifungo cha miaka 30 jela baada ya kushitakiwa kwa kesi ya ubakaji na ushahidi kukamilika.
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Kikongwe mbaroni kwa ubakaji
Polisi mkoani Klimanjaro inamshikilia mzee Mungai Molel(75) kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 11 wa shule ya msingi Okaseni na kumjeruhi vibaya sehemu za siri.
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Mchungaji afungwa kwa ubakaji
>Kiongozi wa kanisa moja nchini Zimbabwe amehukumiwa kifungo cha miaka 40 jela kwa kosa la kuwabaka wanawake watatu na kukutwa na vifaa vya kuchochea kujamiiana.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania