Dilma Rousseff ashinda tena Urais Brazil
Rais wa Brazil Dilma Rousseff amechaguliwa tena kuiongoza nchi hiyo, katika uchaguzi uliojaa ushindani mkali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLRAIS DILMA ROUSSEFF KUIONGOZA TENA BRAZIL
Rais wa Brazil kutokachama cha Wafanyakazi, Dilma Rousseff. Dilma Rousseff amejipatia ushindi kwenye duru ya pili ya uchaguzi wa rais nchini Brazil, baada ya kumshinda kwa taabu hasimu wake wa kisiasa  Aecio Neves aliyegombea kwa tiketi ya Brazilian Social Democracy Party (PSDB) kwa asilimia 51.6 ya kura zilizopigwa. Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Brazil imetangaza kuwa, Neves amejipatia asilimia 48.4 ya kura zote...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Nw0Lzj0oCQg/VFDxRxdakKI/AAAAAAAGuF8/1yWIMpilXdw/s72-c/DILMA.jpg)
President Kikwete has sent a congratulatory message to Her Excellency Dilma Rousseff on the occasion of her re-election as President of the Federative Republic of Brazil
![](http://4.bp.blogspot.com/-Nw0Lzj0oCQg/VFDxRxdakKI/AAAAAAAGuF8/1yWIMpilXdw/s1600/DILMA.jpg)
The message reads as follows.
“Her Excellency Dilma Rousseff The President of the Federative Republic of Brazil, Brasilia, BRAZIL.
I have received with great pleasure the news of your re-election to the highest office of your...
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Dilma Rousseff asema kamwe hatishiki
Rais wa Brazil amepinga uvumi kwamba serikali yake haitofanikiwa kukabiliana na mzozo uliopo sasa wa kisiasa na kiuchumi
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntFVYZ*rc2MIUqed5zd-C9JG1P5uFRnyxXujE-lrDCanAoGXwOATBQP6lxHkAz-1-XmUZy1XoK9c3aGto-s7JPqe/blatter.jpg)
BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA
Sepp Blatter baada ya ushindi. Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi leo licha ya kukumbwa na skendo za… ...
9 years ago
BBCSwahili08 Oct
Rais wa Brazil Dilma matatani
Mahakama nchini Brazil imebaini kuwa Rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff amekiuka sheria za usimamizi wa akaunti ya bajeti ya mwakajana.
11 years ago
TheCitizen19 Apr
Brazil’s Rousseff looks weak, but so do her election rivals
With Brazil’s economy struggling, a scandal at its state-run oil company and nearly three-quarters of voters saying they want change from their government, President Dilma Rousseff looks vulnerable in her bid for re-election this October.
11 years ago
TheCitizen06 Jun
BRAZIL 2014: Airport trouble for Dilma as World Cup nears
Brazil’s government played down problems with its aging airports, many of which are being renovated even as the World Cup looms from next week.
11 years ago
TheCitizen19 Jun
Brazil’s Rousseff gets a boost as World Cup starts well
Brazil’s hosting of the World Cup has been far from perfect but it has gone more smoothly than many expected, boosting President Dilma Rousseff’s chances for re-election in October.
10 years ago
TheCitizen11 Sep
Dreams on hold, Brazil’s ‘new middle class’ turns on Rousseff
The streets of Jardim São Luis, a poor and violent neighbourhood near the edge of São Paulo, have not been this quiet in years. And that is exactly why Valeria Rocha is so worried.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania