BLATTER ASHINDA TENA URAIS WA FIFA
![](http://api.ning.com:80/files/949x2JmyntFVYZ*rc2MIUqed5zd-C9JG1P5uFRnyxXujE-lrDCanAoGXwOATBQP6lxHkAz-1-XmUZy1XoK9c3aGto-s7JPqe/blatter.jpg)
Sepp Blatter baada ya ushindi. Blatter akiwa na mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. SEPP Blatter ameshinda tena Urais wa FIFA kwa awamu ya tano baada ya kumshinda mpinzani wake Prince Ali bin al-Hussein wa Jordan. Blatter amepata kura 133 dhidi ya 73 za mpinzani wake huyo katika raundi ya kwanza ya kinyang'anyiro hicho kilichofanyika nchini Uswizi leo licha ya kukumbwa na skendo za… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili29 May
Blatter anawania Urais wa FIFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
BLATTER AJIUZULU URAIS FIFA
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Blatter ampa Platini urais Fifa
RAIS wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter, amesema anaamini Michel Platini ana nafasi kubwa ya kuwa rais wa shirikisho hilo.
Blatter mwenye umri wa miaka 79, alitangaza kujiuzulu wadhifa wake ikiwa ni siku nne tu mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais kwa awamu ya tano, sababu za kutangaza kujiuzulu ni kutokana na kashfa ya rushwa.
Platini kwa sasa yupo kati ya watu watano ambao wanawania nafasi hiyo ya urais, ambapo uchaguzi utafanyika Februari 26 mwakani.
Hata hivyo, Platini na...
11 years ago
BBCSwahili12 Jun
Blatter Ataka muhula wa 5 urais Fifa
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Urais Fifa:Kuipenda Afrika kulivyomponza Blatter
10 years ago
BBCSwahili27 Oct
Dilma Rousseff ashinda tena Urais Brazil
9 years ago
BBCSwahili10 Sep
Mwana wa Mfalme ajitosa tena urais FIFA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuAmb0laZGkG4MQlYjjLfENFtvv94vtH1CV5jlOIYudSl*srVuSUhDh9RRxiZMF*aWUx40uDWP3vp19RO24rns35/sepp.jpg?width=650)
BLATTER AJIUZULU FIFA
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Blatter kujiuzulu Fifa