Messi matatani kwa kukwepa kodi
Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo507 Oct
Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania
Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa. Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake. Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi […]
9 years ago
Bongo506 Oct
Missy Elliot matatani kwa kukwepa kutumbuiza Brazil licha ya kulipwa fedha
Rapper Missy Elliott anakabiliwa na kesi ya madai ya $75,000 kwa kudaiwa kukwepa kutokea kwenye TV ya Brazil na kutumbuiza kwenye show mbili. Madai hayo yanadai kuwa mshindi huyo wa tuzo tano za Grammy alilipwa $75,000 kama malipo ya awali mwaka 2012 kutumbuiza jijini Rio na Porto Alegre mwezi November. Kama sehemu ya makubaliano hayo, […]
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Uli Hoeness jela kwa kukwepa kulipa kodi
Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu Rais wa, Bayern Munich, Uli Hoeness, miaka 3 na miezi sita jela kwa kukwepa kulipa kodi.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Baa ya Maryland yafungwa, kwa kukwepa kodi Sh139m
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeifunga baa maarufu ya Maryland ya jijini Dar es Salaam kwa madai ya kukwepa kulipa kodi inayokadiriwa kufikia Sh139 milioni.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hiOw4xekqhnVftMkqyjtUlp2oOi8bC8eKM5uoNzfF3ZfOt0FbstVJ7ezGJj20BbqOoDuoGKKPvo155Kl6F*-PoDYOgu-pTJQ/ulihoeness_uzqg74l0gmyrzsky6qgbfvto.jpg?width=650)
RAIS WA BAYERN MUNICH AHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA 3 KWA KUKWEPA KODI
Rais wa Bayern Munich, Uli Hoeness. Rais wa Bayern Munich amehukumiwa kwenda jela kwa kifungo cha miaka mitatu na miezi sita kutokana na kosa la kukwepa kodi. Uli Hoeness, 62, alikiri kukwepa kodi inayofikia kiasi cha €18.5 million kupitia akaunti zake za benki za siri lakini utetezi wake wa kukiri kosa akidhania ungemsaidia kuepukana na adhabu ya kifungo ulishindwa kumsaidia. Mwendesha mashtaka alitaka Hoeness afungwe...
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
HSBC,imewasaidia wateja kukwepa kodi
Nyaraka zafichua kuwa HSBC, imekuwa ikiwasaidia wateja kukwepa kulipa kodi
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari,atachunguzwa na polisi licha ya kocha huyo kukanusha madai kuwa alikwepa kulipa kodi.
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema hahusiki na madai mbalimbali yanayotolewa dhidi yake yakiwamo ya kuwasaidia baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2naI65SEKNM/XnyLHYhU7uI/AAAAAAALlFM/miaXDQWw6HcUCkjH98bs0ZOM2X51gsmHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a5698c047e810ed8.jpg)
VIWANDA VYATUMIA ENEO LA KANISA KUKWEPA KODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2naI65SEKNM/XnyLHYhU7uI/AAAAAAALlFM/miaXDQWw6HcUCkjH98bs0ZOM2X51gsmHwCLcBGAsYHQ/s640/a5698c047e810ed8.jpg)
Hayo yamebainika baada ya Mkuu wa kitengo cha Kodi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Denis Masami kutembelea eneo hilo lenye jumla ya ekari 410 ambalo limemilikishwa kwa matumizi ya makazi na siyo biashara.
Mkuu wa kitengo cha kodi alilazimika kufika katika eneo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania