Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania

Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa. Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake. Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Messi matatani kwa kukwepa kodi

Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi

 

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

TheCitizen

BRAZIL 2014: It is now or never for Lionel Messi

Very secure to the point that what he hasn’t done must not be used to put him down. It is why this World Cup is Lionel Messi’s to lose, a struggling Argentine side notwithstanding. In fact Messi is the one player with most to lose in Brazil.

 

10 years ago

Mwananchi

Lionel Messi, Neymar waizamisha Bayern

Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Hispania, Barcelona wametumbukiza mguu mmoja katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bayern Munich.

 

9 years ago

GPL

LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya,  Lionel Messi. MONACO, Ufaransa LIONEL Messi ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kumpiku Cristiano Ronaldo katika tuzo zilizotolewa jana ambazo pia dunia ilishuhudia Manchester United ikirejea kwenye michuano hiyo hatua ya makundi. Messi, staa wa Barcelona, aliingia hatua ya fainali ya tuzo hizo pamoja na straika wa timu yake, Luis Suarez pamoja na Ronaldo wa...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’

. “Lionel Messi anaweza kuvunja rekodi yoyote iliyokuwa kichwani mwake,” kwa mujibu wa kocha Barcelona, Gerardo Martino baada ya kumshuhudia nyota wa Argentina akiwa mchezaji watatu kwa wachezaji waliofunga mabao mengi La Liga.

 

5 years ago

Liverpool Echo

Lionel Messi reveals what he really thinks about four Liverpool stars

Lionel Messi reveals what he really thinks about four Liverpool stars  Liverpool EchoWhat Barcelona star Lionel Messi has said about Chelsea’s Mason Mount  Football.LondonMessi now appears to be the finance director at Barcelona  AS EnglishBartomeu has been doing his thing for a long time  MARCA.comOne of the worlds greatest ever players heaps praise on Mason Mount  Chelsea NewsView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Mtanzania

Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe

MessiEMIRATES, DUBAI

NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.

Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.

Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...

 

5 years ago

Barca Blaugranes

Lautaro Martinez’s agent: Who wouldn’t want to play with Lionel Messi?

Lautaro Martinez’s agent: Who wouldn’t want to play with Lionel Messi?  Barca BlaugranesWho wouldn't like to play with Messi? Lautaro's agent talks up Barcelona  Goal.comReal Madrid, Barcelona, Chelsea and Manchester City inquired about Lautaro, says his agent  Managing MadridLionel Messi fumes at claims he paid £1.3m bail to get Ronaldinho out of prison in Instagram rant by  The SunA match made in heaven: Lautaro Martinez is the perfect partner for Messi at Barca  GoalView Full coverage on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani