Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania
Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa. Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake. Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Messi matatani kwa kukwepa kodi
10 years ago
Vijimambo25 Jan
11 years ago
TheCitizen05 Jul
BRAZIL 2014: It is now or never for Lionel Messi
10 years ago
Mwananchi07 May
Lionel Messi, Neymar waizamisha Bayern
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2BB6AC0D00000578-3213173-image-a-3_1440697335072.jpg)
LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA
11 years ago
Mwananchi18 Feb
‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’
5 years ago
Liverpool Echo31 Mar
Lionel Messi reveals what he really thinks about four Liverpool stars
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
5 years ago
Barca Blaugranes11 Apr
Lautaro Martinez’s agent: Who wouldn’t want to play with Lionel Messi?