LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2BB6AC0D00000578-3213173-image-a-3_1440697335072.jpg)
Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Â Lionel Messi. MONACO, Ufaransa LIONEL Messi ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kumpiku Cristiano Ronaldo katika tuzo zilizotolewa jana ambazo pia dunia ilishuhudia Manchester United ikirejea kwenye michuano hiyo hatua ya makundi. Messi, staa wa Barcelona, aliingia hatua ya fainali ya tuzo hizo pamoja na straika wa timu yake, Luis Suarez pamoja na Ronaldo wa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Ronaldo mchezaji bora wa Ulaya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPjGkbKe25gfBpNlUOO*VS1eMzVsRaiTSjDyWBY7qoCthQpG14tEziCudirpbOouHdg0f5A*UryIdadoM8FKgW8m/1409261957864_wps_1_epaselect_epa04372610_Por.jpg?width=650)
CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA
9 years ago
Bongo528 Aug
Messi awashinda Ronaldo na Suarez tuzo ya mwanasoka bora Ulaya
11 years ago
Bongo512 Jul
FIFA yataja wachezaji 10 wanaowania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la dunia 2014 ‘World Cup Golden Ball Award’, Neymar na Messi waingia
10 years ago
Vijimambo25 Jan
11 years ago
TheCitizen05 Jul
BRAZIL 2014: It is now or never for Lionel Messi
11 years ago
Mwananchi18 Feb
‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’
10 years ago
Mwananchi07 May
Lionel Messi, Neymar waizamisha Bayern
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...