Lionel Messi, Neymar waizamisha Bayern
Mabingwa wa zamani wa Ligi Kuu Hispania, Barcelona wametumbukiza mguu mmoja katika fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Bayern Munich.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Jan
11 years ago
TheCitizen05 Jul
BRAZIL 2014: It is now or never for Lionel Messi
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/2BB6AC0D00000578-3213173-image-a-3_1440697335072.jpg)
LIONEL MESSI MCHEZAJI BORA ULAYA
11 years ago
Mwananchi18 Feb
‘Lionel Messi atavunja rekodi zote’
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Lionel Messi amgaragaza Ronaldo tuzo za Globe
EMIRATES, DUBAI
NYOTA wa klabu ya Barcelona, Lionel Messi, amemgaragaza mpinzani wake, Cristiano Ronaldo wa Real Madrid katika tuzo za Globe Soccer, ambapo Messi amefanikiwa kuchukua mchezaji bora wa mwaka.
Tuzo hizo ambazo zimetolewa juzi mjini Dubai, Messi aliibuka kinara wa tuzo hizo huku Ronaldo akishika nafasi ya pili.
Wakati huo huo, klabu ya Barcelona ilifanikiwa kuchukua klabu bora ya mwaka kutokana na kukusanya mataji mengi msimu uliopita, huku Josep Bartomeu akichukua rais bora wa...
5 years ago
Liverpool Echo31 Mar
Lionel Messi reveals what he really thinks about four Liverpool stars
5 years ago
Barca Blaugranes11 Apr
Lautaro Martinez’s agent: Who wouldn’t want to play with Lionel Messi?
9 years ago
Mtanzania05 Oct
Pique: Barcelona bila Lionel Messi hakuna kitu
BARCELONA, HISPANIA
BEKI wa Barcelona, Gerard Pique, amesema klabu hiyo bila ya mshambuliaji wake, Lionel Messi, haiwezi kufika kokote.
Barcelona juzi ilikubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Sevilla katika mchezo wa Ligi Kuu nchini Hispania, ambapo kwa sasa klabu hiyo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi na wapinzani wao Real Madrid ikishika nafasi ya nne.
Messi kwa sasa ni majeruhi ambapo atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili hivyo kwa sasa klabu hiyo imeanza kuyumba kutokana na...
9 years ago
Bongo507 Oct
Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania