VIWANDA VYATUMIA ENEO LA KANISA KUKWEPA KODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2naI65SEKNM/XnyLHYhU7uI/AAAAAAALlFM/miaXDQWw6HcUCkjH98bs0ZOM2X51gsmHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a5698c047e810ed8.jpg)
Na Hassan Mabuye, Wizara ya ArdhiENEO la kanisa la Anglikana lililopo Mtoni-Buza katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam limetumika kukwepa kodi ya pango la ardhi kwa kuendesha biashara vikiwemo viwanda vya wachina na maduka makubwa.
Hayo yamebainika baada ya Mkuu wa kitengo cha Kodi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Denis Masami kutembelea eneo hilo lenye jumla ya ekari 410 ambalo limemilikishwa kwa matumizi ya makazi na siyo biashara.
Mkuu wa kitengo cha kodi alilazimika kufika katika eneo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Messi matatani kwa kukwepa kodi
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
HSBC,imewasaidia wateja kukwepa kodi
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Uli Hoeness jela kwa kukwepa kulipa kodi
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Baa ya Maryland yafungwa, kwa kukwepa kodi Sh139m
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Zitto: Sh2trilioni zinatoroshwa kila mwaka kukwepa kodi
9 years ago
Bongo507 Oct
Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania