Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto: Sh2trilioni zinatoroshwa kila mwaka kukwepa kodi

Dodoma.Bunge limeelezwa zaidi ya Dola za Marekani 1.25 bilioni sawa na Sh2 trilioni hutoroshwa na kupelekwa nje ya nchi kila mwaka kwa lengo la kukwepa kodi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wakwepa kodi watorosha Sh409 bilioni kila mwaka

Tanzania imekuwa ikipoteza kiasi cha Sh409.2 bilioni (Dola za Marekani 248 milioni) kwa mwaka kutokana na udanganyifu katika uagizaji wa mafuta unaofanywa na baadhi ya kampuni za uchimbaji wa madini na uagizaji wa bidhaa zilizowekeza chini ya mpango wa Kanda Maalumu za Kiuchumi (Export Processing Zones – EPZ).

 

10 years ago

BBCSwahili

Messi matatani kwa kukwepa kodi

Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi

 

11 years ago

BBCSwahili

Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi

Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari,atachunguzwa na polisi licha ya kocha huyo kukanusha madai kuwa alikwepa kulipa kodi.

 

10 years ago

BBCSwahili

HSBC,imewasaidia wateja kukwepa kodi

Nyaraka zafichua kuwa HSBC, imekuwa ikiwasaidia wateja kukwepa kulipa kodi

 

5 years ago

Michuzi

VIWANDA VYATUMIA ENEO LA KANISA KUKWEPA KODI

Na Hassan Mabuye, Wizara ya ArdhiENEO la kanisa la Anglikana lililopo Mtoni-Buza katika Manispaa ya Temeke jijini Dar es salaam limetumika kukwepa kodi ya pango la ardhi kwa kuendesha biashara vikiwemo viwanda vya wachina na maduka makubwa.
Hayo yamebainika baada ya Mkuu wa kitengo cha Kodi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Denis Masami kutembelea eneo hilo lenye jumla ya ekari 410 ambalo limemilikishwa kwa matumizi ya makazi na siyo biashara.
Mkuu wa kitengo cha kodi alilazimika kufika katika eneo...

 

9 years ago

Mwananchi

Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi

Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema hahusiki na madai mbalimbali yanayotolewa dhidi yake yakiwamo ya kuwasaidia baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uli Hoeness jela kwa kukwepa kulipa kodi

Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu Rais wa, Bayern Munich, Uli Hoeness, miaka 3 na miezi sita jela kwa kukwepa kulipa kodi.

 

9 years ago

Bongo5

Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania

Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa. Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake. Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi […]

 

9 years ago

Mwananchi

Baa ya Maryland yafungwa, kwa kukwepa kodi Sh139m

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeifunga baa maarufu ya Maryland ya jijini Dar es Salaam kwa madai ya kukwepa kulipa kodi inayokadiriwa kufikia Sh139 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani