Zitto: Sh2trilioni zinatoroshwa kila mwaka kukwepa kodi
Dodoma.Bunge limeelezwa zaidi ya Dola za Marekani 1.25 bilioni sawa na Sh2 trilioni hutoroshwa na kupelekwa nje ya nchi kila mwaka kwa lengo la kukwepa kodi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Wakwepa kodi watorosha Sh409 bilioni kila mwaka
Tanzania imekuwa ikipoteza kiasi cha Sh409.2 bilioni (Dola za Marekani 248 milioni) kwa mwaka kutokana na udanganyifu katika uagizaji wa mafuta unaofanywa na baadhi ya kampuni za uchimbaji wa madini na uagizaji wa bidhaa zilizowekeza chini ya mpango wa Kanda Maalumu za Kiuchumi (Export Processing Zones – EPZ).
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Messi matatani kwa kukwepa kodi
Nyota wa timu ya Barcelona na Argentina Lionel Messi anakabiliwa na mashtaka ya ukwepaji wa kulipa kodi
11 years ago
BBCSwahili14 May
Scolari adaiwa kukwepa kulipa kodi
Kocha wa timu ya taifa ya Brazil Luiz Felipe Scolari,atachunguzwa na polisi licha ya kocha huyo kukanusha madai kuwa alikwepa kulipa kodi.
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
HSBC,imewasaidia wateja kukwepa kodi
Nyaraka zafichua kuwa HSBC, imekuwa ikiwasaidia wateja kukwepa kulipa kodi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2naI65SEKNM/XnyLHYhU7uI/AAAAAAALlFM/miaXDQWw6HcUCkjH98bs0ZOM2X51gsmHwCLcBGAsYHQ/s72-c/a5698c047e810ed8.jpg)
VIWANDA VYATUMIA ENEO LA KANISA KUKWEPA KODI
![](https://1.bp.blogspot.com/-2naI65SEKNM/XnyLHYhU7uI/AAAAAAALlFM/miaXDQWw6HcUCkjH98bs0ZOM2X51gsmHwCLcBGAsYHQ/s640/a5698c047e810ed8.jpg)
Hayo yamebainika baada ya Mkuu wa kitengo cha Kodi kutoka Wizara ya Ardhi Bw. Denis Masami kutembelea eneo hilo lenye jumla ya ekari 410 ambalo limemilikishwa kwa matumizi ya makazi na siyo biashara.
Mkuu wa kitengo cha kodi alilazimika kufika katika eneo...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Ridhiwani afunguka umiliki wa mali, kukwepa kodi
Mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete amesema hahusiki na madai mbalimbali yanayotolewa dhidi yake yakiwamo ya kuwasaidia baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kulipa kodi.
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Uli Hoeness jela kwa kukwepa kulipa kodi
Mahakama nchini Ujerumani imemhukumu Rais wa, Bayern Munich, Uli Hoeness, miaka 3 na miezi sita jela kwa kukwepa kulipa kodi.
9 years ago
Bongo507 Oct
Lionel Messi afutiwa mashtaka ya kukwepa kodi Hispania
Mchezaji wa timu ya taifa Argentina na Barcelona Lionel Messi amefutiwa mashtaka ya kukwepa kulipa kodi ya zaidi ya pauni milioni 4 kwa mamlaka za Hispania. Yeye na baba yake walishtakiwa. Waendesha mashtaka nchini humo wamefuta mashtaka hayo kwa Lionel Messi lakini wataendelea na kesi dhidi ya baba yake. Baba yake Lionel Messi, Jorge Messi […]
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Baa ya Maryland yafungwa, kwa kukwepa kodi Sh139m
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeifunga baa maarufu ya Maryland ya jijini Dar es Salaam kwa madai ya kukwepa kulipa kodi inayokadiriwa kufikia Sh139 milioni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania