Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mapenzi yanoga licha ya kipigo Brazil

Licha ya huzuni Brazil,kunao mashabiki ambao wameitumia fursa ya kombe la dunia kujitafutia mapenzi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAPENZI YA RONALDO NA ALESSIE YANOGA

Mshambuliaji wa Real Madrid ,Cristiano Ronaldo. Madrid, Hispania
KUMEKUWA na taarifa kuwa  mshambuliaji wa Real Madrid ,Cristiano Ronaldo, ambaye hivi karibuni amevunja rekodi yake mwenye kwa kufunga mabao 61 kwenye La Liga, anatoka na Mwigizaji na Mwanamitindo Alessia Tedeschi. Mwigizaji na Mwanamitindo Alessia Tedeschi. Ronaldo hivi karibuni aliachana na aliyekuwa mpenzi wake Irina Shayk lakini bado hajafunguka hadharani...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Rihanna akava jarida la Vanity Fair, aeleza kwanini alirudiana na Chris Brown licha ya kumjeruhi kwa kipigo

Rihanna amekava jarida la Vanity Fair toleo la November 2015 na kuzungumza mambo kibao ukiwemo uhusiano wake na Chris Brown. “Nilikuwa msichana yule,” alisema Rihanna kueleza kwanini alimrudia Chris Brown licha ya kumjeruhi vibaya mwaka 2009. “Msichana yule aliyehisi maumivu makali kama uhusiano huu ulivyokuwa, pengine watu wengine wameumbwa kuwa na nguvu kuliko wengine. Pengine […]

 

9 years ago

Bongo5

Missy Elliot matatani kwa kukwepa kutumbuiza Brazil licha ya kulipwa fedha

Rapper Missy Elliott anakabiliwa na kesi ya madai ya $75,000 kwa kudaiwa kukwepa kutokea kwenye TV ya Brazil na kutumbuiza kwenye show mbili. Madai hayo yanadai kuwa mshindi huyo wa tuzo tano za Grammy alilipwa $75,000 kama malipo ya awali mwaka 2012 kutumbuiza jijini Rio na Porto Alegre mwezi November. Kama sehemu ya makubaliano hayo, […]

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Beyonce na Jay Z mapenzi tele licha ya tetesi kuwa ndoa yao ipo kwenye mawe tena

Tetesi kuwa Beyonce na Jay Z huenda wakawa katika hatua ya mwisho kuachana, hazioneshi kuwa na maana yoyote baada ya kuona picha hizi. Ni wazi kuwa Bey na Jay bado wanapenda na sana. Mastaa hao wanaonekana kuwa bado wapo kwenye mapenzi tele katika picha zinazowaonesha wakitupiana mabusu tele kwenye mapumziko na familia. Mtoto wa Blue […]

 

11 years ago

CloudsFM

KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI

"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI PROJEKTI YANOGA!

Stori: Kampala, Uganda
Acha muvi iendelee! Ile projekti ya mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ sasa imenoga. Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana. Habari zinaeleza kwamba katika pati ya mwaka ya Zari wiki iliyopita iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Guvnor uliopo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

Mwananchi

LIGI YA MABINGWA:Vita ya Messi, Ronaldo yanoga

Wiki iliyopita zilifahamika timu nane ambazo zimeingia hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2014/15.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani