LIGI YA MABINGWA:Vita ya Messi, Ronaldo yanoga
Wiki iliyopita zilifahamika timu nane ambazo zimeingia hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2014/15.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMAPENZI YA RONALDO NA ALESSIE YANOGA
10 years ago
VijimamboRonaldo v Messi at Old Trafford
10 years ago
Habarileo04 Sep
Shibuda ajifananisha na Messi, Ronaldo
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, John Shibuda amesema kwamba hajakihama Chama cha Demokrasia na Maendeleo bali amekosana na mfumo wa utumishi wa ndani ya chama hicho.
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Kikwete kuwaleta Ronaldo, Messi
Rais Jakaya Kikwete
Na Abducado Emmanuel, Dar es Salaam
BAADA ya ujio wa magwiji wa zamani wa timu ya Real Madrid kufanyika kwa mafanikio makubwa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, ameeleza kuwa anafanya uwezekano wa kuileta timu halisi ya Real Madrid yenye nyota, Cristiano Ronaldo au Barcelona yenye staa, Lionel Messi.
Magwiji hao walicheza mechi ya kirafiki dhidi ya magwiji wa zamani wa Tanzania ‘TSN Tanzania Eleven’, iliyoisha kwa Real Madrid kushinda kwa mabao 3-1,...
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Si Messi wala Ronaldo ni Atletico
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Messi, Ronaldo, Soton gumzo
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Ronaldo, Messi wanyimana kura
10 years ago
Mtanzania14 Jan
Ronaldo apania kumfikia Messi
ZURICH, USWISI
NYOTA waReal Madrid, Cristiano Ronaldo, usiku wa kuamkia jana alifanikiwa kutwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Dunia ‘Ballon d’Or’ kwa mara ya pili mfululizo, huku mwaka huu akipanga kuchukua tena na kumzidi nyota wa Barcelona, Lionel Messi aliyeitwaa mara nne.
Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Ureno aliwapiku wapinzani wake, Messi na kipa wa Bayern Munich, Manuel Neuer, waliokuwa wakishindanishwa kuwania tuzo hiyo.
Nyota hao watatu pia walifanikiwa kuorodheshwa kwenye kikosi bora...
11 years ago
BBCSwahili30 Apr
Ronaldo avunja rekodi ya Messi