Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAPENZI YA RONALDO NA ALESSIE YANOGA

Mshambuliaji wa Real Madrid ,Cristiano Ronaldo. Madrid, Hispania
KUMEKUWA na taarifa kuwa  mshambuliaji wa Real Madrid ,Cristiano Ronaldo, ambaye hivi karibuni amevunja rekodi yake mwenye kwa kufunga mabao 61 kwenye La Liga, anatoka na Mwigizaji na Mwanamitindo Alessia Tedeschi. Mwigizaji na Mwanamitindo Alessia Tedeschi. Ronaldo hivi karibuni aliachana na aliyekuwa mpenzi wake Irina Shayk lakini bado hajafunguka hadharani...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

LIGI YA MABINGWA:Vita ya Messi, Ronaldo yanoga

Wiki iliyopita zilifahamika timu nane ambazo zimeingia hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu wa 2014/15.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mapenzi yanoga licha ya kipigo Brazil

Licha ya huzuni Brazil,kunao mashabiki ambao wameitumia fursa ya kombe la dunia kujitafutia mapenzi.

 

9 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aonesha mapenzi kwa shabiki aliyevamia uwanjani na kumkumbatia

Mchezaji wa klabu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo akiwa kwenye mechi ya ligi ya mabingwa wa Ulaya dhidi ya PSG iliyochezwa jijini Paris, Ufaransa ameonesha mapenzi ya juu kwa shabiki aliyevamia uwanjani. Shabiki huyo alivamia uwanjani wakati Madrid ikipambana na PSG na alipomfikia Ronaldo, alimpokea na kumkumbatia. Hata wakati walinzi wa uwanjani wanaingia ili kumtoa, […]

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, ZARI PROJEKTI YANOGA!

Stori: Kampala, Uganda
Acha muvi iendelee! Ile projekti ya mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’ sasa imenoga. Mastaa wakubwa Afrika Mashariki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Zarinah Hassan ‘Zari’wakila ujana. Habari zinaeleza kwamba katika pati ya mwaka ya Zari wiki iliyopita iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Guvnor uliopo...

 

10 years ago

Bongo Movies

Huu Ndiyo Mtazamo wa Shamsa Juu ya ‘Mapenzi ni Kupetipeti au Mapenzi ni Pesa’

Staa mrembo wa Bongo Movies, Shamsa Ford amabaye hivi sasa anatoka na Staa wa Bongo Fleva, Nay wa Mitego baada ya kuachana na mumeo, ameweka wazi kuwa kwenye mapenzi yeye anahitaji kupetipetiwa na pesa pia vinginevyo atakusaliti.

Akiwa anaipa promo nyimbo mpya ‘Mapenzi au Pesa’ ya Nay wa Mitego na Diamond Platinum itakayotoka hivi karibuni,  Shamsa amefunguka hayo na kuwataka mashabiki wake watoe mitazamo yao ikiwa

“Eti mapenzi ni kupetipeti au mapenzi ni pesa..?? Kwa upande wangu vyote...

 

10 years ago

Vijimambo

TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations ambao waliibuka kidedea dhidi ya Workshop kwa kunyakua makombe yote katika michezo mbali mbali iliyochezwa katika Bonanza la Siku ya Familia iliyofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Kiota cha Kunduchi Wet and Wild jijini Dar es Salaam. Lengo la Siku hiyo ilikuwa ni kuwakutanisha wafanyakazi na...

 

11 years ago

Michuzi

Castle Lager Perfect Six yanoga kuelekea fainali za Kanda

Timu nne za soka za kanda ya mashariki zimefanikiwa kuvuka na kutinga hatua ya ligi ndogo ya mashindano ya Castle Lager Perfect Six kwa mikoa ya Morogoro na Dodoma.
Katika michezo ya hatua ya mchujo ikirishikisha timu nane za mikoa hiyo, kwa upande wa Morogoro timu za Mzinga FC na Ndezi FC zenyewe zilikata mapema tiketi ya kucheza ligi hiyo huku kwa Dodoma ikiwa ni Schalke 04 FC pamoja na Market FC.
Schalke 04 na Market FC zilikata tiketi juzi kwa kushika nafasi ya kwanza na pili katika...

 

10 years ago

GPL

TICTS FAMILY DAY YANOGA JIJINI DAR‏

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations ambao waliibuka kidedea dhidi ya Workshop kwa kunyakua makombe yote katika michezo mbali mbali iliyochezwa katika Bonanza la Siku ya Familia iliyofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Kiota cha Kunduchi Wet and Wild jijini Dar es Salaam....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani