Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Chenge agonga mwamba escrow

Dar es Salaam. Juhudi za mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (pichani) kutumia mkondo wa sheria kulizuia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma lisimuhoji kuhusu kuhusika kwake kwenye sakata la escrow, zimegonga mwamba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua kupinga hatua hiyo.

 

10 years ago

Mtanzania

Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi

PIX 3.

 

Na Fredy Azzah, Dar Es Salaam
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala...

 

10 years ago

Mtanzania

Chenge akataa jumla kuhojiwa Escrow

chengeNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MBUNGE wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), ameiomba Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutoa zuio la kudumu kwa Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma na Baraza la Maadili ya Viongozi kuendelea kushughulikia lalamiko lolote la kimaadili dhidi yake linalotokana na ripoti ya CAG na PAC.
Malalamiko yaliyowasilishwa katika baraza hilo ni tuhuma za kupokea fedha kutoka Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Chenge kupitia...

 

10 years ago

GPL

CHENGE AZIDI KUHOJIWA SAKATA LA ESCROW!

Andrew Change(kushoto) akipangua hoja za mwanasheria wa serikali aliye mbele ya mwenyekiti wa tume ya maadili. Mwenyekiti wa tume ya maadili ya viongozi wa umma, Jaji mstaafu , Hamis Msumi(katikati) pembeni yake ni viongozi wengine wa baraza hilo.…

 

10 years ago

TheCitizen

Prosecute Chenge, Ngeleja over escrow saga: activists

>Activists yesterday called for the arrest and prosecution of chairpersons of parliamentary committees who were implicated in the Public Accounts Committee report on the Tegeta Escrow Account scandal.

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kodi ya Escrow

Naibu waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Serikali imesema imeshachukua hatua za kulipwa kodi kutoka kwa watu walionufaika na mgawo wa fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wizara yake imeshawaandikia ankara za malipo ya kodi wadaiwa wote waliopokea mgawo huo.

Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), alisema serikali imewapatia siku 30 watu hao ili...

 

10 years ago

TheCitizen

Escrow: Chenge files petition against ethics proceedings

>Bariadi West MP Andrew Chenge (CCM) has filed a constitutional petition at the High Court challenging proceedings of the Public Leadership Ethics Tribunal and parliamentary resolutions in an application relating to violation of the Leadership Code of Ethics.

 

10 years ago

TheCitizen

Ethics tribunal questions Chenge over escrow cash

Mr Chenge insisted that the money was payment for the consultancy

 

10 years ago

Habarileo

Chenge ataka ushahidi ufisadi akaunti ya Escrow, ATCL

Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew ChengeMBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (Chadema) ametakiwa kuwasilisha ushahidi kuthibitisha kauli yake ya kumtuhumu Mbunge Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (CCM), kwa ufisadi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani