Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi

PIX 3.

 

Na Fredy Azzah, Dar Es Salaam
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KASHFA YA ESCROW ZAMNG’OA CHENGE RASMI...ATANGAZA KUACHIA NAFASI YA UWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI

PIX 3.






WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta...

 

10 years ago

Mwananchi

Kashfa yamng’oa Miss Tanzania 2014

Shindano la mlimbwende wa Tanzania maarufu kama Miss Tanzania limetimiza miaka 20 tangu kuanzishwa kwake, huku likiandika historia mbaya baada ya mrembo wa 2014, Sitti Mtemvu kuvua taji hilo kutokana na kashfa ya kudanganya umri.

 

5 years ago

BBCSwahili

Thomas Thabane: Kashfa ya mauaji ya mke yamng'oa madarakani waziri mkuu Lesotho

Waziri Mkuu wa Lesotho ni moja ya washukiwa wa mauaji ya mkewe wa zamani.

 

10 years ago

Vijimambo

Escrow yamng`oa Werema

  Kikwete amkubali kujiuzuluMwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, amejiuzulu.Jaji Werema amelazimika kujiuzulu kufuatia shinikizo kubwa kutoka kwa makundi kadhaa ya jamii na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Rais Jakaya Kikwete, kutaka amfute kazi kutokana na kuhusishwa kwake na kashfa ya wizi wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Jaji Werema alijiuzulu jana kupitia barua yake aliyomwandikia Rais...

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu Jaji Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia jana kutokana na kuhusishwa na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Chenge agonga mwamba escrow

Dar es Salaam. Juhudi za mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge (pichani) kutumia mkondo wa sheria kulizuia Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma lisimuhoji kuhusu kuhusika kwake kwenye sakata la escrow, zimegonga mwamba Mahakama Kuu kutupilia mbali kesi aliyofungua kupinga hatua hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Staili ya Chenge escrow yanoga

>Staili ya Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge ya kukwamisha Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma kujadili watu wanaohusishwa na fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, imezidi kunoga.

 

10 years ago

Vijimambo

Kashfa Escrow imeharibu nchi



Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ

Kamati ya bunge ya hesabu za serikali Tanzania imebainisha majina ya wahusika wa kashfa na IPTL ,waziri mkuu nae atajwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani