Kashfa ya Escrow yamng’oa Chenge rasmi
Na Fredy Azzah, Dar Es Salaam
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo08 Jan
KASHFA YA ESCROW ZAMNG’OA CHENGE RASMI...ATANGAZA KUACHIA NAFASI YA UWENYEKITI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA BAJETI
![PIX 3.](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2015/01/PIX-3.-1024x780.jpg)
WAKATI Watanzania wakisubiri hatima ya Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, ambaye Rais Jakaya Kikwete alisema anamuweka kiporo kutokana na kashfa ya uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti, Andrew Chenge, ametangaza rasmi kuachia nafasi hiyo.
Bunge lililopita baada ya kujadili ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), kuhusu miamala iliyofanyika kwenye Akaunti ya Tegeta...
10 years ago
Mwananchi09 Nov
Kashfa yamng’oa Miss Tanzania 2014
5 years ago
BBCSwahili19 May
Thomas Thabane: Kashfa ya mauaji ya mke yamng'oa madarakani waziri mkuu Lesotho
10 years ago
Vijimambo17 Dec
Escrow yamng`oa Werema
![](http://www.ippmedia.com/images/frontend/headline_bullet.jpg)
![](http://www.thisday.co.tz/media/picture/large/Attorney%20General,%20Judge%20Frederick%20Werema.jpg)
Jaji Werema alijiuzulu jana kupitia barua yake aliyomwandikia Rais...
10 years ago
Mwananchi17 Dec
Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu Jaji Werema
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Chenge agonga mwamba escrow
10 years ago
Mwananchi07 Mar
Staili ya Chenge escrow yanoga
10 years ago
Vijimambo29 May
Kashfa Escrow imeharibu nchi
![](http://jamboleo.co.tz/wp-content/uploads/2015/05/dampo.png)
Dotto MwaibaleKITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa ripoti ya mwaka 2015, inayoonesha kuwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyohusisha idara mbalimbali za Serikali imeharibu sifa ya nchi.Imesema Tegeta Escrow imekuwa ni mojawapo ya matukio makubwa ya kashfa za rushwa kupata kutokea nchini, ambapo inahusisha watu kutoka kada mbalimbali za jamii kuanzia Serikali Kuu, Idara ikiwamo Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na pia Rita.Mkurugenzi Mtendaji wa LHRC, Dk. Helen...
10 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kashfa ya ESCROW vigogo watajwa TZ