Picha: Rihanna akava jarida la Vanity Fair, aeleza kwanini alirudiana na Chris Brown licha ya kumjeruhi kwa kipigo
Rihanna amekava jarida la Vanity Fair toleo la November 2015 na kuzungumza mambo kibao ukiwemo uhusiano wake na Chris Brown. “Nilikuwa msichana yule,” alisema Rihanna kueleza kwanini alimrudia Chris Brown licha ya kumjeruhi vibaya mwaka 2009. “Msichana yule aliyehisi maumivu makali kama uhusiano huu ulivyokuwa, pengine watu wengine wameumbwa kuwa na nguvu kuliko wengine. Pengine […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo504 Nov
Picha: Lupita Nyong’o akava jarida la Glamour (Woman of the Year 2014)
9 years ago
BBCSwahili27 Sep
Rihanna; Chris Brown ataingia Australia ?
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Rihanna: Naweza kubadilisha maisha ya Chris Brown
NEY YORK, MAREKANI
MSANII wa muziki nchini Marekani, Robyn Fenty ‘Rihanna’, amesema kuwa yeye ni mtu pekee anayeweza kumbadilisha, Chris Brown.
Awali wawili hao walikuwa wapenzi, walipoachana Chris akadondokea kwa Karrueche Tran, hata hivyo hakudumu naye baada ya Chris kuletewa mtoto na mpenzi wake wa zamani, Nia Guzman.
Kutokana na kuyumba huku katika mapenzi, Rihanna ameshindwa kuzuia hisia zake na kusema kuwa yeye ndiye mwanamke pekee anayeweza kumbadilisha msanii huyo.
“Nilimzoea sana...
10 years ago
GPL24 Feb
10 years ago
Bongo527 Jan
Kesi ya kumdunda Rihanna yamsababisha Chris Brown aahirishe ziara yake
11 years ago
Bongo510 Aug
Rihanna awadiss Drake na Chris Brown, asema Eminem ndiye mwanaume wa kweli
11 years ago
Bongo515 Jul
Mpenzi wa Chris Brown, Karreuche Tran akili kuwa anapigana vita kali na Rihanna
11 years ago
Bongo502 Aug
Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!