WOLPER, KUWAJALI WAZAZI SIYO FEDHA
![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoZhZqqxuq33m3wpti294p6QdDZ*1YVV41YoWrF5Jr0ngwrTBAga0GQgSfU36mU949voXFwOx1HFqS5w9irC634/zachembe.jpg?width=650)
Jackline Wolper . NINAMFAHAMU Jacqueline Wolper, kama mmoja wa mastaa wa filamu za Kibongo. Anajitahidi kuigiza na muonekano wa mwili wake unamsaidia sana kuvutia mashabiki. Siku kadhaa nyuma, niliwahi kuwa mmoja wa waandishi waliokuwa wakifanya naye mahojiano maalum ofisini kwetu. Anajua kujieleza na ni mtulivu katika kujibu maswali anayoulizwa, huenda kwa vile anajua athari za maneno ya haraka, yasiyoeleweka na… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4zquq6ya86CW-lc3txy2ENRC4woiHb31mIuZty3k-s7LYjFte7imLkEmlta3StuZl7nRHnG3lIyf01ElID7DlW5/Wolper.jpg)
WAZAZI WA MANAIKI WAMTOLEA NJE WOLPER
10 years ago
Bongo Movies29 Jan
Wazazi wa Manaiki Wamtolea Nje Wolper
Msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga,amesema kuwa yuko katika wakati mgumu sana kwa sababu wazazi wake wamemtolee nje ishu ya kwenda kumposa mrembo na mwigizaji, Jacqueline Wolper.
Akizungumza kwa masikitiko, Manaiki alisema kuwa hivi karibuni alifunga safari na kwenda kijijini kwao Mbeya kwa ajili ya kuwaeleza wazazi wake nia yake ya kumuoa Wolper lakini imekuwa tofauti kwani wamemwambia kama anataka kuoa msichana atatoka nyumbani kwao.
“Yaani nimeamini kabisa mbio za sakafuni...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY2zZ4mmsY1RfoPBqKsQozLgQ3FgvNvo1gsW0rTLYEpHoOVvjHnZjpjpBYK-AD17fmEBvdQpZSNq1ukp-jlPHEPN/aa40629cdd0411e2a47422000a9e28eb_7.jpg?width=650)
WOLPER ACHOMOA SKENDO YA KUTELEKEZA WAZAZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/p8dNfbTfHuB8-a3*BRLlcswaEbWFTznY3xaqsIM8icLM2nQ-VlkszXEZqApn5i7LDPX*BAbD2*cbcwbBcu38vCNo7inOGgD3/ergtertertetetetertet.jpg)
WAZAZI WAMTAKA WOLPER AKAISHI NYUMBANI KWAO
10 years ago
Mwananchi15 Dec
‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’
11 years ago
Tanzania Daima05 Jun
Jacqueline Wolper aponda mapenzi ya fedha
STAA wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper, amesema hana mpango wa kuwa na mume tajiri, hivyo amewataka wasihangaike kumtafuta. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wolper alisema hapendi wanaume wenye...
10 years ago
Mwananchi20 Jun
CCM imejali fedha za wagombea siyo demokrasia
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...