Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
Hata hivyo, amsema serikali inaangalia ripoti ya Swiss Leaks ili kuona uhalali wa akaunti hizo za siri.
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Feb
UHAMISHAJI FEDHA: ‘Watanzania 99 wanamiliki Sh193 bil Uswisi’
10 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WAZIRI WA FEDHA MHE. SAADA MKUYA NA KATIBU MKUU WIZARA YA FEDHA WASHINGTON, DC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1d0fVWrX9G9Sx36Qda0NZBFkERWFZ6FC96KelggFXgW71-7oMt3Jomv24JECimhH6Wc6MV80e7pevyYlH7OkQt/w.jpg)
NI KOSA LENU WADADA, SIYO WANAUME!
10 years ago
Mtanzania13 Mar
Chave: Siyo rahisi kwa Tanzania kurejesha mabilioni ya Uswisi
ELIAS MSUYA
Kwa zaidi ya miaka miwili, kumekuwa na taarifa za kufichwa kwa mabilioni ya fedha katika benki za Uswisi na nchi nyinginezo duniani.
Taarifa ya awali ilitoka ilitokana na ripoti ya Benki ya Taifa ya Uswisi ikionyesha kuwa kuna zaidi ya Sh300 bilioni za Tanzania zilizofichwa kwenye benki mbali mbali nchini humo.
Taarifa za hivi karibuni zilizotolewa na Mtandao wa Kimataifa wa Habari za Uchunguzi (ICIJ) zimeonyesha kuwepo kwa Watanzania 99 walioficha kiasi cha Sh210 bilioni katika...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpok7HrQrqKYCB1wpBtIYgt0obNl4SobbVgllL7ZXKV69trEgi3CgRbe86jRM2ThISG5zRBSd3zVUvJSDCssa0S/images.jpg?width=650)
DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?
10 years ago
Michuzi17 Jul
Rais Kikwete azungumza na Watanzania waishio Uswisi
![k](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/k3.jpg)
![mail.google.com9](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/mail.google.com9_.jpg)
![j](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/j2.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva jana baada ya kuzungumza nao na kisha kupata futari katika Hoteli ya Intercontinental jijini Geneva ...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s72-c/mkuya0.jpg)
Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni
![](http://3.bp.blogspot.com/-b-1eL1S8Ufg/Vfj6LBrAM8I/AAAAAAAB9jo/_mDOu5F7x3o/s640/mkuya0.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jtGS0jt9aFI/Vfj6LunEYZI/AAAAAAAB9js/NhlKxDTeVKo/s640/Mkuya1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xNaVCB_zm-s/Vfj6M1QqtWI/AAAAAAAB9j8/bIySHscNbgo/s640/mkuya3.jpg)
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Kosa kubwa la Chadema ni kuwanyima Watanzania uchaguzi
KAMA kuna vitu ambavyo hata mimi mwenyewe si viamini ni kuwa wakati huu wa kampeni mimi ni mmoja
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA SAADA SALUM MKUYA AKUTANA NA JOLY WA (IMF) NA LAROSE WA (WB)
Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly wa katikati mwenye Tai ya rangi ya chungwa akiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa na ujumbe kutoka Tanzania( hawapokwenyepicha)mjini Washington DC.
Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wakiwa kwenye mkutano wa majumuisho kati ya Shirika la fedha la Kimataifa mjini Washington DC
Waziri wa...