Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kosa kubwa la Chadema ni kuwanyima Watanzania uchaguzi

KAMA kuna vitu ambavyo hata mimi mwenyewe si viamini ni kuwa wakati huu wa kampeni mimi ni mmoja

Lula wa Ndali Mwananzela

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

SIMULIZI ZA TIDO: Kosa kubwa

>Jumapili iliyopita alianza kuhadithia kuhusu hekaheka zilizotokea mwaka 1995, kwenye uchaguzi wa mgombea  urais kwa tiketi ya CCM kule Chimwaga, Dodoma. Kwenye simulizi hiyo, Tido, ambaye wakati huo alikuwa anafanyia kazi Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC), alimalizia kwa kufahamisha ya kwamba, mshindi hakuweza kupatikana kwenye duru ya kwanza ya upigaji kura, ikabidi kura zipigwe tena kupambanisha wagombea wawili wa juu, Kikwete na Mkapa na baadaye ikaelezwa kwamba matokeo...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi

Hata hivyo, amsema serikali inaangalia ripoti ya Swiss Leaks ili kuona uhalali wa akaunti hizo za siri.

“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.

Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.

“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA CHADEMA TAIFA 2014:FREEMAN MBOWE ASHINDA NAFASI YA MWENYEKITI CHADEMA TAIFA, PROFESA ABDALLAH SAFARI MAKAMU MWENYEKITI WA CHADEMA BARA

 Sehemu ya Wajumbe wa Mkutano  mkuu wa chadema Wakicheza kwa furaha muda mfupi baada ya matokeo ya Uchaguzi kwenye Mkutano Mkuu Kutangazwa Usiku huu Freeman Mbowe akiwashukuru wajumbe wa mkutano mkuu wa CHADEMA  kwa kumchagua tena kushika nafasi ya mwenyekiti Mshindi wa nafasi ya mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe akipongezwa na Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Makamu  Mwenyekiti wa Chadema Bara Profesa Abdallah Safari(Kulia)na Mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe wakipungia kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Idadi kubwa ya Watanzania ni watoto

IDADI kubwa ya watu nchini ni watoto wenye umri wa chini ya miaka 15 na vijana huku mikoa ya Simiyu, Rukwa na Geita ikitajwa kuwa zaidi ya nusu ya watu wake, ni watoto. Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Dk Albina Chuwa alimweleza hayo Rais Jakaya Mrisho Kikwete jana Ikulu wakati akimkabidhi vitabu na majedwali yenye matokeo na machapisho ya Sensa ya Watu na Makazi ya Mwaka 2012.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: Nina deni kubwa kwa Watanzania

Rais John Magufuli amesema ana deni kubwa kwa Watanzania baada ya wananchi kuonyesha imani kwake, huku akiwaambia wapinzani kuwa uchaguzi umekwisha na yeye ndiye Rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shauku kubwa ya matokeo ya uchaguzi Malawi

Siku ya pili baada ya uchaguzi mkuu Malawi na matatizo yameshuhudia katika kuhesabu kura, ikiwemo kuharibika kwa mitambo ya hesabu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jipange walia CCM kuwanyima eneo

KIKUNDI cha Jipange cha kinamama wajasiriamali mkoani Mtwara, wameilalamikia Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa, kwa kutowapa sehemu ya kufanyia biashara zao licha ya kuwa wa kwanza kufika katika...

 

11 years ago

Habarileo

Hesabu mbaya kuwanyima posho watendaji Tamisemi

Mwenyekiti wa LAAC, Rajab Mohamed MbaroukKAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), inaandaa utaratibu kuwanyima posho za safari wakuu wa idara wa halmashauri za wilaya, watakaokuwa wakiitwa na kamati hiyo zaidi ya mara mbili, kutokana na hesabu mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani