NI KOSA LENU WADADA, SIYO WANAUME!
![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1d0fVWrX9G9Sx36Qda0NZBFkERWFZ6FC96KelggFXgW71-7oMt3Jomv24JECimhH6Wc6MV80e7pevyYlH7OkQt/w.jpg)
MAISHA yanakimbia kuliko treni iendayo kasi. Sasa hivi kama mtu akija na kukuambia habari za mwaka mpya, anasema hivyo kwa mazoea tu, lakini ukweli halisi ni kwamba mwaka umeshakomaa huu, watu wameshasahau kama wiki chache zilizopita, dunia nzima ilikuwa ikizizima kwa nyimbo za Happy New Year! Yaaa, mwaka umeshakuwa wa zamani maana hata machungu ya wazazi na walezi kwa ada walizotoa kwa wategemezi wao zimeshaisha uchungu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e94-*Sv1fqpok7HrQrqKYCB1wpBtIYgt0obNl4SobbVgllL7ZXKV69trEgi3CgRbe86jRM2ThISG5zRBSd3zVUvJSDCssa0S/images.jpg?width=650)
DIAMOND SIYO KOSA KUISHI NA MAMA LAKINI KUNA UMUHIMU WA KUJITENGA NAYE?!?
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali: Wapo wanaume siyo rijali
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg)
LINAH: WANAUME WAFUPI SIYO ‘UGONGWA’ WANGU
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZhVsrLD0LnjJ8ARul0qqfI*2Xgnb3ilBQzgF68uvPPJ7prids9DsRXzH9S3lfftwZ2K8ogZ1tKEdjYS*LtO71*vtzLujMC-x/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
SIPUNGII TENA WADADA MKONO!
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Mbinu za kufufua penzi lenu