LINAH: WANAUME WAFUPI SIYO ‘UGONGWA’ WANGU
![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg)
Esterlina Sanga ‘Linah’. Na Mayasa Mariwata MWANADADA mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amesema katika maisha yake kamwe hafikirii kuja kuolewa na mwanaume mfupi kwani siyo sampuli yake. Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Linah alisema atakuwa si mkweli akitamka ana mwanaume mfupi kwani hata jamii itamcheka kwa kuwa hata Amini Mwinyimkuu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
Eti wanaume wafupi ni waume bora?
9 years ago
Bongo519 Dec
Uoga wangu unaniponza jukwaani – Linah
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Ijumaa hii, Linah alipanda kwenye jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015, lakini amegundua kuwa uoga unamponza.
Akizungumza na Bongo5 akiwa Nigeria, Linah amesema woga unamfanya apoteze kujiamini jukwaani.
“Kwa jinsi nilivyofanya show, naona njia ni nyeupe ya kuwa staa wa kimataifa, kikubwa kujiamini na kujikubali. Uoga huwa unaniangusha, sura ngeni, muziki wangu mgeni, lugha niliyotumia pia labda...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA9soO6xl99Ugkd5g7w5iXUzXEPv4H1NIabcZnsXQW3bAuW5zLImzTewRE4fBzQNW5-DiDJuux2OM4QsQxELL0If/LINAH.jpg?width=650)
LINAH SANGA: NACHIZIKA NA UPAJA WANGU
9 years ago
Bongo519 Oct
Wasichana wengi wanamtamani mpenzi wangu — Linah
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Serikali: Wapo wanaume siyo rijali
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1d0fVWrX9G9Sx36Qda0NZBFkERWFZ6FC96KelggFXgW71-7oMt3Jomv24JECimhH6Wc6MV80e7pevyYlH7OkQt/w.jpg)
NI KOSA LENU WADADA, SIYO WANAUME!
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Ommy Dimpoz: Wema siyo mpenzi wangu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anashangazwa na uvumi unaoendelea kuwa yupo katika uhusiano na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu.
Akielezea kuhusu picha zilizosambaa kwenye mitandano ya kijamii, Ommy Dimpoz, alisema walikuwa Afrika Kusini kwa mapumziko ndipo picha hizo zilipopigwa.
“Tunapiga picha nyingi sana na Wema, hii siyo mara ya kwanza, lakini sijui kwanini hizi zimetengeneza taswira nyingine kwa mashabiki,”...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU