Ommy Dimpoz: Wema siyo mpenzi wangu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anashangazwa na uvumi unaoendelea kuwa yupo katika uhusiano na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu.
Akielezea kuhusu picha zilizosambaa kwenye mitandano ya kijamii, Ommy Dimpoz, alisema walikuwa Afrika Kusini kwa mapumziko ndipo picha hizo zilipopigwa.
“Tunapiga picha nyingi sana na Wema, hii siyo mara ya kwanza, lakini sijui kwanini hizi zimetengeneza taswira nyingine kwa mashabiki,”...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM10 Feb
Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.
Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.
Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.
Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Dimpoz: Sitamtangaza mpenzi wangu kama maonyesho
NA JENNIFER ULLEMBO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema hataki kuweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mpenzi wake kama wafanyavyo baadhi ya wasanii ndani na nje ya Tanzania.
Dimpoz alisema watakaomfahamu mpenzi wake ni watu wake wa karibu na si kila shabiki wake kwa kuwa mambo ya mapenzi yanapendeza yakiwa siri.
“Hakuna haja ya kufanya maonyesho ya mapenzi kwa mashabiki, uhusiano wangu ni mimi na mpenzi wangu, hakuna haja ya kila mtu kujua kwa sababu...
11 years ago
CloudsFM30 May
NGOMA YA NDAGUSHIMA YA OMMY DIMPOZ NI HISTORIA YA UKWELI YEYE NA MPENZI WAKE
STAA wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz amefunguka kuwa ngoma yake mpya ya Ndagushima ni historia ya kweli na hisia zake za ukweli kwa mpenzi wake anayesoma Ulaya anayeitwa Emmy Mwarabu ila hapa anafunguka jinsi mchakato ulivyokua mpaka akawa na mwanadada huyo ambaye dimpoz huwa anapost picha zake kwenye mtandao.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s72-c/ommy-picha%2B(1).jpg)
Ommy Dimpoz atoa sababu za kwanini hajawahi kumtambulisha hadharani mpenzi wake
![](http://3.bp.blogspot.com/-uECxyRuL2bQ/VTd2RwQiOqI/AAAAAAAAsX8/KxpwoamA3Js/s640/ommy-picha%2B(1).jpg)
'Sijapenda kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli wakati umefika,
kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike, kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi'...
10 years ago
Bongo Movies14 Feb
Ommy Dimpoz Anogewa na Penzi la Wema!
Mahaba: Mwanamuziki Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ ameamua kukiri wazi kuwa ananogewa na penzi la Wema Sepetu ‘Madame’.
Akizungumza na wa GPL Februari 11, mwaka huu maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Dimpoz alisema anawashangaa sana watu kuendelea kumsakama juu ya uhusiano wake na Madame wakati yeye anafahamu shemeji yake kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni Zarina Hassan ‘Zari’ kwa sasa.
“Nashindwa kuelewa kuna watu wamekuwa wakinitumia ujumbe eti Diamond atanimaindi kwa ukaribu wangu na...
10 years ago
Bongo Movies22 Feb
Le Projectii:Wema Sasa Ampikia na Kumpakulia Ommy Dimpoz
Wakati mwanamziki wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz akiendelea kupepesa macho na kutikisa masikio kukanusha kuwa hana mahusiano ya kimapenzi na mwingizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu ukaribu wao bado unatia mashaka na kuendeleza sintofahamu miongoni mwa mashabiki na wapambe wao.
Japo kuwa Ommy alielezakuwa yeye na Wema ni marafiki toka kitambo kabla hata ya wema kuwa na mahusiano na mwanamziki Diamond, lakini hii imezidiii.
Mbali na kuonekana wawili hawa kuwa pamoja sehemu mablimbali za starehe...
10 years ago
Bongo509 Feb
Picha: Wema Sepetu na Ommy Dimpoz kunani kwani?
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!
Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.
Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.
Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...
10 years ago
Bongo Movies06 Feb
Ukaribu wa Ommy Dimpoz na Wema Waanza Kutiliwa Mashaka!!!
Ukaribu wa Ommy Dimpoz na Wema Waanza kutiliwa Mashaka!!!
Baada ya hapo jana picha za wawili hawa, mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi mbalimbali kusambaa mitandaoni, huku kwa nyakati tofauti Ommy Dimpoz alikuwa akizutupia picha hizo bila kuziandikia maelezo yoyote na hivyo kuwaacha mashabiki wake wakiwa na maswali mengi kujua nini niachoendelea kati ya wawili hapo.
Leo hali yakuwatilia mashaka kuwa wawili hao kwasasa wana-DATE imeongezeka kwa kasi zaidi...