Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NGOMA YA NDAGUSHIMA YA OMMY DIMPOZ NI HISTORIA YA UKWELI YEYE NA MPENZI WAKE

STAA wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz amefunguka kuwa ngoma yake mpya ya Ndagushima ni historia ya kweli na hisia zake za ukweli kwa mpenzi wake anayesoma Ulaya anayeitwa Emmy Mwarabu ila hapa anafunguka jinsi mchakato ulivyokua mpaka akawa na mwanadada huyo ambaye dimpoz huwa anapost picha zake kwenye mtandao.

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Ommy Dimpoz atoa sababu za kwanini hajawahi kumtambulisha hadharani mpenzi wake


'Sijapenda kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli wakati umefika,
kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike, kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi'...

 

11 years ago

GPL

11 years ago

GPL

10 years ago

Bongo5

Behind The Scenes: Utengenezwaji wa video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ Uingereza

Sina shaka umeshaitazama video ya Ommy Dimpoz ‘Ndagushima’ iliyofanyika nchini Uingereza na kuongozwa na director Mnigeria Mr. Moe Musa. Hii ni ‘behind the scenes’, wakati wa utengenezwaji wa video hiyo ambayo baada ya kukamilika kwa mara ya kwanza ilianza kuoneshwa Exclusive na kituo cha kimataifa cha MTV Base.

 

10 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz azungumzia ukubwa wa Ndagushima, ujio mpya na collabo ya kimataifa

Muimbaji wa ‘Ndagushima’, Ommy Dimpoz ameeleza sababu iliyoufanya wimbo wake ‘Ndagushima’ kutofanya vizuri mapema kama mashabiki wake walivyozoea kwenye nyimbo zake zilizopita huku akitoa faida na hasara ya wimbo kufanya vizuri mapema. Ommy ameiambia Bongo5 kuwa wimbo wa Ndagushima ulianza vibaya mpaka watu wake wa karibu wakamshauri atoe wimbo mpya mapema. “Katika nyimbo zangu nilizowahi […]

 

10 years ago

Mtanzania

Ommy Dimpoz: Wema siyo mpenzi wangu

wemaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anashangazwa na uvumi unaoendelea kuwa yupo katika uhusiano na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu.
Akielezea kuhusu picha zilizosambaa kwenye mitandano ya kijamii, Ommy Dimpoz, alisema walikuwa Afrika Kusini kwa mapumziko ndipo picha hizo zilipopigwa.
“Tunapiga picha nyingi sana na Wema, hii siyo mara ya kwanza, lakini sijui kwanini hizi zimetengeneza taswira nyingine kwa mashabiki,”...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani