Dimpoz: Sitamtangaza mpenzi wangu kama maonyesho
NA JENNIFER ULLEMBO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema hataki kuweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na mpenzi wake kama wafanyavyo baadhi ya wasanii ndani na nje ya Tanzania.
Dimpoz alisema watakaomfahamu mpenzi wake ni watu wake wa karibu na si kila shabiki wake kwa kuwa mambo ya mapenzi yanapendeza yakiwa siri.
“Hakuna haja ya kufanya maonyesho ya mapenzi kwa mashabiki, uhusiano wangu ni mimi na mpenzi wangu, hakuna haja ya kila mtu kujua kwa sababu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania19 Feb
Ommy Dimpoz: Wema siyo mpenzi wangu
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anashangazwa na uvumi unaoendelea kuwa yupo katika uhusiano na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu.
Akielezea kuhusu picha zilizosambaa kwenye mitandano ya kijamii, Ommy Dimpoz, alisema walikuwa Afrika Kusini kwa mapumziko ndipo picha hizo zilipopigwa.
“Tunapiga picha nyingi sana na Wema, hii siyo mara ya kwanza, lakini sijui kwanini hizi zimetengeneza taswira nyingine kwa mashabiki,”...
10 years ago
Vijimambo03 Feb
[Diamond]Mpenzi Wangu Mjamzito Kweli
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/Diamond_na_Zari.jpg)
Mwanamuziki maarufu nchini na sehemu nyingi za dunia – Diamond Platnumz ambaye aliwahi kuwa mpenzi wa mwanadada Wema Sepetu ameendelea kuuhakikishia ulimwengu kuwa, mpenzi wake wa sasa ZARI al-maarufu kama “The boss lady”, ni mama mtarajiwa aliyebeba ujauzito wa msanii huyo nguli nchini na kwamba hii sio project nyingine.
Huku akitumia mafumbo kwenye maneno yake ambayo wataalamu wetu wa Kiswahili ndio wametufafanulia kisanifu zaidi, Diamond aliandika
“Kileeeeeeee kinaanza kumuharibia mtu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whapl-f-NAYVqOUytFqr*oK9WNw6N2A*Vw*AZDXfFjpCzu22X3KhkRjMU3ECVJ4NO-43GN3KrNvMG2ysl-21ZrYtubxc-88P/kajala.jpg)
KAJALA: PERFECT SIO MPENZI WANGU
9 years ago
Bongo519 Oct
Wasichana wengi wanamtamani mpenzi wangu — Linah
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvoxp7jhEtKU*Mzne4V3ndD5ZAzRfzU6P1HGo0RgYqk9Vej7zYaN-p*Th9sf9RusK*IruvxVLuSjlzYJlmpmRpUszjhpKzAv/jux.jpg)
JUX: KWELI JACK PATRICK NI MPENZI WANGU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*CDy9YhLF-LRpaUmemYogw3ip3dmGnT7nlHHq7sLyVf2PbqNoXcIvB-MFd5GlV394b27v2Tjl*2AC9ebU6wG80Q/shilole.jpg?width=650)
SHILOLE: MPENZI WANGU NDIYE ANAYENITIBU VIZURI
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Linnah: Mpenzi wangu hataki picha za mitandaoni
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Estelina Sanga ‘Linnah’ amefafanua kwamba haweki picha za mpenzi wake kwenye kurasa zake za mitandaoni kwa kuwa mpenzi wake huyo hataki na si kwamba wameachana.
Linnah alieleza kwamba yeye na mpenzi wake huyo raia wa Uganda, Williams Bugeme, wamekubaliana waache utaratibu huo wa kuweka picha zao kwenye mitandao ya kijamii na si kwamba wameachana kama wengi wanavyodhani,
“Bado nipo na Williams, wengi wameshangaa kwa nini siku hizi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6ZBoDYTzJR*zSls3KsMqAzN9B96KhNSIm4s3hgytLkbywntnHDII5fJUn3qG*GohgF2uUPgaSap3oMSHo5nJJaY/JOHARI.jpg?width=650)
BABY MADAHA: SIJAMPA PENZI MPENZI WANGU
10 years ago
Michuzi19 Apr
JUMA NATURE - NAMUOA MPENZI WANGU WA ARUSHA AS SOON AS POSSIBLE
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/S7EaNzr03Pfwr6jAPRvCUStTjGbnXoPuVC5Bk5O90Mnov-jbDlz8R_lZlzIfWzLGE_TzOTqIyZLibsrx0mxBdhWHfon1ux3dO3kgfNkJzDseDKWJpS9y_DM=s0-d-e1-ft#http://bongocelebrity.files.wordpress.com/2007/08/juma-nature-3.jpg)