Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ommy Dimpoz Anogewa na Penzi la Wema!

Mahaba: Mwanamuziki  Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’  ameamua kukiri wazi kuwa ananogewa na penzi la Wema Sepetu ‘Madame’.

Akizungumza na wa GPL Februari 11, mwaka huu maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Dimpoz alisema anawashangaa sana watu kuendelea kumsakama juu ya uhusiano wake na Madame wakati yeye anafahamu shemeji yake kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni Zarina Hassan ‘Zari’ kwa sasa.

“Nashindwa kuelewa kuna watu wamekuwa wakinitumia ujumbe eti Diamond atanimaindi kwa ukaribu wangu na...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

DIMPOZ ANOGEWA NA PENZI LA WEMA

Musa Mateja/Risasi
SI siri tena! Staa wa wimbo wa Ndakushima, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kwa sasa ameamua kukiri wazi kuwa ananogewa na penzi la Wema Sepetu ‘Madame’. Staa wa wimbo wa Ndakushima, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ akiwa na Wema Sepetu ‘Madame’. Akizungumza na paparazi wetu Februari 11, mwaka huu maeneo ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, Dimpoz alisema anawashangaa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Penzi la Wema na Ommy Dimpoz, lawa dhahili, wapiga picha wakiwa bafuni usiku!!

Ukiona manyoa?!!! Hatimaye zile tetesi na hisia za kwamba mwaigizaji Wema Sepetu na msanii wa muziki Ommy Dimpoz kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi zime kuwa kweli kwa zaidi ya asilimia 99, hii kutona na picha waliopiga jana usiku wakiwa bafuni huku wema akiwa amevalia taulo “flan amazing” huku kijana Ommy akionekana kwa mbaliii kama ananawa mikono.

Picha hii iliamsha watu kibao usiku wa jana hasa wale Team Wema kindakindaki..kwani comments na likes zilivyo tiririka utazana picha imewekwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA:Penzi la Wema Sepetu na Ommy Dimpoz lazidi kuchanua, Watupia picha wakiwa kitandani!!

Baada ya kuwa ni wazi sasa kuwa wawili hao wapo kwenye Le Project  flani Amazing..sasa wameamua kutupia picha kwenye kurasa zao za mitandaoni wakiwa kitandani.

Alianza Ommy na badae akafuta Wema ambae aliweka picha hizo jana usiku na kuwatakia followers wake usiku mwema.

Penzi la watu hawa linaendelea kuzua mvutano mkali kati ya wale ambao wanaona sawa na wale ambao wanaona kama sio sawa, wanaosema sawa wanasema,baada ya watu kuachana kila mmoja ana haki ya kula maisha na anaempenda hivyo...

 

10 years ago

CloudsFM

Picha za Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kimahaba zilipigwa usiku ‘mnene’,Dimpoz adai hakuwa na fahamu.

Zile picha za mahaba zilizosambaa kwenye mitandao zikimuonyesha Staa wa Bongo Fleva,Ommy Dimpoz na Wema Sepetu wakiwa kitandani zimezidi kuzua utata baada ya Ommy kusema hakujua alipigwa saa ngapi kwani hakuwa na fahamu bali aulizwe Wema.Ommy amezungumza na Uheard na Soudy Brown alisema kuwa hana maelezo zaidi ya kuzungumza zaidi ya kusema kuwa hajui ni muda upi zilipigwa picha hizo.Wiki hii picha hizo zilisambaa mitandaoni na kuzua maswali kuwa Ommy Dimpoz ameamua kujiweka kwa Wema baada ya...

 

10 years ago

GPL

PENZI LAKE NA WEMA ,KUMBE DIMPOZ BOYA TU

Stori: Musa mateja
HABARI ya mjini ni kwamba, lile penzi linalonadiwa la Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ na mwigizaji Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ limejaa magumashi, ikidaiwa kuwa jamaa huyo kawekwa kama boya tu, nyuma yake kuna kigogo mzito serikalini ndiye anayekula vinono, Risasi Jumamosi limetonywa. Mbongo-Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ akiwa na mwigizaji Wema...

 

10 years ago

Mtanzania

Ommy Dimpoz: Wema siyo mpenzi wangu

wemaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, amesema anashangazwa na uvumi unaoendelea kuwa yupo katika uhusiano na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu.
Akielezea kuhusu picha zilizosambaa kwenye mitandano ya kijamii, Ommy Dimpoz, alisema walikuwa Afrika Kusini kwa mapumziko ndipo picha hizo zilipopigwa.
“Tunapiga picha nyingi sana na Wema, hii siyo mara ya kwanza, lakini sijui kwanini hizi zimetengeneza taswira nyingine kwa mashabiki,”...

 

10 years ago

Bongo Movies

Picha za Wema na Ommy Dimpoz Zawavutia Wengi Mtandaoni!!!

Siku ya jana kwenye kurasa mbalimbali za watu maarufu kwenye mtandao wa INSTAGRAM walibandika picha hizi za mwanadada Wema Sepetu akiwa na Ommy Dimpoz wakiwa katika mapozi tofauti tofauti.

Kila zilipowekwa, wengi wa bonyeza kitufe cha kuzipenda na wengine waliandika maoni yao huku wengi wakiwasifia kwa jinsi walivyopendeza, na wengine walienda mbali zaidi kuwa wamependezana hivyo ingependeza hii iwe ni Le PROJECT mupyaaa.

Ila baadhi ya watu walibuka na kuponda bila sababu kibaya zaidi ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ukaribu wa Ommy Dimpoz na Wema Waanza Kutiliwa Mashaka!!!

Ukaribu wa Ommy Dimpoz na Wema Waanza kutiliwa Mashaka!!!

Baada ya hapo jana picha za wawili hawa, mwigizaji Wema Sepetu na mwanamziki Ommy Dimpoz  wakiwa katika mapozi mbalimbali kusambaa mitandaoni, huku kwa nyakati tofauti Ommy Dimpoz alikuwa akizutupia picha hizo bila kuziandikia maelezo yoyote na hivyo kuwaacha mashabiki wake wakiwa na maswali mengi kujua nini niachoendelea kati ya wawili hapo.

Leo hali  yakuwatilia mashaka kuwa wawili hao kwasasa wana-DATE imeongezeka kwa kasi zaidi...

 

10 years ago

CloudsFM

SIRI ZA PICHA ZA OMMY DIMPOZ NA WEMA SEPETU ZAVUJA

Wasanii wawili walio kuwa kwenye head line kwa kipindi cha muda mrefu hapa namzungumzia staa wa muziki wa Bongo fleva Ommy Dimpoz pamoja na Staa wa movie za kibongo Wema Sepetu hatimaye siri za picha zao zajulikana Ommy dimpoz asema picha hizo ambazo watu walikuwa wanazioni ni baadhi ya vipande vya wimbo wake mpya ambao anatarajia kuutoa leo na ameomba mashabiki wajiandae kwa wimbo huo kwani maswali walio kuwa wanajiuliza watajipatia majibu kupitia wimbo huo wa WANJELA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani