Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali: Wapo wanaume siyo rijali

Serikali imekiri kuwapo wanaume ambao mbegu zao hazina uwezo wa kuwapa mimba wanawake na kwamba, imekuwa ikiendelea kutoa elimu mara kwa mara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NI KOSA LENU WADADA, SIYO WANAUME!

MAISHA yanakimbia kuliko treni iendayo kasi. Sasa hivi kama mtu akija na kukuambia habari za mwaka mpya, anasema hivyo kwa mazoea tu, lakini ukweli halisi ni kwamba mwaka umeshakomaa huu, watu wameshasahau kama wiki chache zilizopita, dunia  nzima ilikuwa ikizizima kwa nyimbo za Happy New Year!
Yaaa, mwaka umeshakuwa wa zamani maana hata machungu ya wazazi na walezi kwa ada walizotoa kwa wategemezi wao zimeshaisha uchungu...

 

11 years ago

GPL

LINAH: WANAUME WAFUPI SIYO ‘UGONGWA’ WANGU

Esterlina Sanga ‘Linah’. Na  Mayasa Mariwata
MWANADADA mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amesema katika maisha yake kamwe hafikirii kuja kuolewa na mwanaume mfupi kwani siyo sampuli yake. Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Linah alisema atakuwa si mkweli akitamka ana mwanaume mfupi kwani hata jamii itamcheka kwa kuwa hata Amini Mwinyimkuu...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea

Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.

 

10 years ago

Vijimambo

Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu

Kwa wale nitakaowakwaza naomba mniwie radhi lakini kweli hata mimi hainipendezi kuyasema haya ila ni vema tu niwaeleze dada zangu kwasababu ukweli unaoumiza ni bora, kuliko uongo unaofurahisha.Hakuna mwanaume riijali anayeweza kuwa na mwanamke mmoja, eidha awe ameoa au hata kama hajaoa. Hakuna mwanaume wa aina hiyo Karne hii, usijidanganye kukimbilia kwenye ndoa ukiamini kwamba baada ya kuolewa utajimilikisha huyo mwanaume aliyekuoa, never.
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani

>Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini   mwaka 1992, hali ya kisiasa imekuwa ni ya mvurugano. Watawala, CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakili wa Serikali anayechukizwa na wanaume wanaonyanyasa wake za

Dar es Salaam. “Ni vigumu kumudu kazi na familia kwa wakati wote kutokana na ukweli kwamba mwanamke anakabiliana na majukumu mengi ikiwamo ya kazini, kuhudumia familia na wakati huohuo kuangalia mume, lakini hatuna budi kukabiliana na changamoto hizi ili kuwa na familia bora.”

 

10 years ago

Vijimambo

Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago

Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake MbagalaTabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitembelea shamba la ndizi na kahawa la  mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji katika kijiji cha Mabila,wilayani Kyerwa mkoani KageraKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maelezo kutoka kwa mkulima wa Kahawa na Ndizi Ndugu Eustace Kubalienda Kishunji ambaye ni mmiliki wa shamba la Ndizi,, Amesema shamba hilo  lina  miche 345 ambayo huvuna magunia 25 na ana shamba la migomba ambalo humpatia mavuno ya  mikungu...

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO: PAMBANENI KUONDOA MAOVU MNAKOISHI, YAKITOKEA NINYI NDIYO MNAOPASWA KULAUMIWA SIYO VIONGOZI AU SERIKALI

Baba wa Uzao akihubiria mamia ya waumini wakati wa Ibada iliyofanyika katika Kanisa Halisi la Mungu Baba, Tegeta jijini Dar es Salaam, leo. Picha nyingine zaidi ya 50 za ibada hiyo, Tafadhali >> BOFYA HAPA

CCM Blog, Tegeta.
Makanisa na Waumini wametakiwa kufanya jitihada za kuhakikisha hakuna matendo mabaya kama ujambazi na ukahaba kwa kuwa maovu hayo yakitendeka katika mitaa yao wao ndiyo wanaopaswa kulaumiwa badala ya kuwatupia lawama viongozi.

Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Kanisa Halisi la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani