Serikali: Wapo wanaume siyo rijali
Serikali imekiri kuwapo wanaume ambao mbegu zao hazina uwezo wa kuwapa mimba wanawake na kwamba, imekuwa ikiendelea kutoa elimu mara kwa mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I3dypOdGvF1d0fVWrX9G9Sx36Qda0NZBFkERWFZ6FC96KelggFXgW71-7oMt3Jomv24JECimhH6Wc6MV80e7pevyYlH7OkQt/w.jpg)
NI KOSA LENU WADADA, SIYO WANAUME!
MAISHA yanakimbia kuliko treni iendayo kasi. Sasa hivi kama mtu akija na kukuambia habari za mwaka mpya, anasema hivyo kwa mazoea tu, lakini ukweli halisi ni kwamba mwaka umeshakomaa huu, watu wameshasahau kama wiki chache zilizopita, dunia nzima ilikuwa ikizizima kwa nyimbo za Happy New Year!
Yaaa, mwaka umeshakuwa wa zamani maana hata machungu ya wazazi na walezi kwa ada walizotoa kwa wategemezi wao zimeshaisha uchungu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg)
LINAH: WANAUME WAFUPI SIYO ‘UGONGWA’ WANGU
Esterlina Sanga ‘Linah’. Na Mayasa Mariwata
MWANADADA mwenye sauti tamu kutoka Jumba la Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amesema katika maisha yake kamwe hafikirii kuja kuolewa na mwanaume mfupi kwani siyo sampuli yake. Akipiga stori na paparazi wetu juzikati, Linah alisema atakuwa si mkweli akitamka ana mwanaume mfupi kwani hata jamii itamcheka kwa kuwa hata Amini Mwinyimkuu...
9 years ago
Mwananchi07 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA : Mtibwa; wapo wapo tu, wanaishi kwa mazoea
Msimu mwingine kwa Mtibwa Sugar. Ni rahisi kutabiri kwamba maisha yao yataendelea kuwa vile vile kama ilivyokuwa kwa msimu uliopita. Wapo katika Ligi kwa misimu 18 mfululizo tangu walipopanda Ligi Kuu mwaka 1996.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-9XJkEVihrOI/VLed96fNFKI/AAAAAAAAmfw/FpQsgcVWK70/s72-c/Happy-Couple.jpg)
Hakuna Mwanaume Rijali Anayeweza kuwa na Mwanamke Mmoja tu
![](http://2.bp.blogspot.com/-9XJkEVihrOI/VLed96fNFKI/AAAAAAAAmfw/FpQsgcVWK70/s640/Happy-Couple.jpg)
"Mchele mmoja mapishi mbalimbali", utakuta wewe...
11 years ago
Mwananchi07 May
Ni ‘vita’ baina ya serikali na wananchi na siyo upinzani
>Tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi nchini  mwaka 1992, hali ya kisiasa imekuwa ni ya mvurugano. Watawala, CCM wamekuwa wakilinda nafasi yao ili isichukuliwe na wapinzani.
10 years ago
Mwananchi17 May
Wakili wa Serikali anayechukizwa na wanaume wanaonyanyasa wake za
Dar es Salaam. “Ni vigumu kumudu kazi na familia kwa wakati wote kutokana na ukweli kwamba mwanamke anakabiliana na majukumu mengi ikiwamo ya kazini, kuhudumia familia na wakati huohuo kuangalia mume, lakini hatuna budi kukabiliana na changamoto hizi ili kuwa na familia bora.â€
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mahojiano Maalum: “Ujane siyo ulemavu wala Huyatima siyo kufungwa” -Tabu Obago
![Tabu Obago, akiwa nyumbani kwake Mbagala](http://alphaigogo.com/wp-content/uploads/2015/02/Tab-Obago-169x300.jpg)
Wapendwa wasomaji, wiki iliyopita niliwaletea mahojiano maalum kutoka kwa dada Zawadi Kakoschke. Katika mahojiahano hayo moja ya maswali ambayo nili muuliza ni kama kuna huusiano kati ya majina ambayo wazazi wanawapa watoto wao na mafanikio au tabia ya watoto hao. Sehemu ya mahojiano hayo yalikuwa kama ifuatavyo:-
Wewe binasfi unaamini majina ambayo wazazi wana wapa watoto wao yanachangia katika mafanikio yao kiuchumi, kielimu, na tabia zingine?...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iw5m0Mu4lHM/VXtJm3kMlqI/AAAAAAAC6eE/PXNeQoht1DQ/s72-c/6.jpg)
KINANA AWASILI WILAYA YA KYERWA, ATAKA MIRADI YA MAENDELEO ISIMAMIWE NA HALMASHAURI SIYO SERIKALI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-iw5m0Mu4lHM/VXtJm3kMlqI/AAAAAAAC6eE/PXNeQoht1DQ/s640/6.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Lm0v05FRFNI/VXtJmkGb-VI/AAAAAAAC6eA/_t1LaiDu_XA/s640/7.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFbi-Fy_rHU/Xt0DWabA-II/AAAAAAACMjQ/vbli6tCAFy8z4wkmHS0iefE23b31srCvgCLcBGAsYHQ/s72-c/wa%2Buzao.jpg)
BABA WA UZAO: PAMBANENI KUONDOA MAOVU MNAKOISHI, YAKITOKEA NINYI NDIYO MNAOPASWA KULAUMIWA SIYO VIONGOZI AU SERIKALI
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZFbi-Fy_rHU/Xt0DWabA-II/AAAAAAACMjQ/vbli6tCAFy8z4wkmHS0iefE23b31srCvgCLcBGAsYHQ/s400/wa%2Buzao.jpg)
CCM Blog, Tegeta.
Makanisa na Waumini wametakiwa kufanya jitihada za kuhakikisha hakuna matendo mabaya kama ujambazi na ukahaba kwa kuwa maovu hayo yakitendeka katika mitaa yao wao ndiyo wanaopaswa kulaumiwa badala ya kuwatupia lawama viongozi.
Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Kanisa Halisi la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania