Uoga wangu unaniponza jukwaani – Linah
Ijumaa hii, Linah alipanda kwenye jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015, lakini amegundua kuwa uoga unamponza.
Akizungumza na Bongo5 akiwa Nigeria, Linah amesema woga unamfanya apoteze kujiamini jukwaani.
“Kwa jinsi nilivyofanya show, naona njia ni nyeupe ya kuwa staa wa kimataifa, kikubwa kujiamini na kujikubali. Uoga huwa unaniangusha, sura ngeni, muziki wangu mgeni, lugha niliyotumia pia labda...
Bongo5
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jan
Ni wakati wangu shoo za jukwaani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA9soO6xl99Ugkd5g7w5iXUzXEPv4H1NIabcZnsXQW3bAuW5zLImzTewRE4fBzQNW5-DiDJuux2OM4QsQxELL0If/LINAH.jpg?width=650)
LINAH SANGA: NACHIZIKA NA UPAJA WANGU
9 years ago
Bongo519 Oct
Wasichana wengi wanamtamani mpenzi wangu — Linah
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7WKey5CZ59ZPoZLv5ataRwGUOmYogHU0I61BvUXctsL9I3eDe4yCzFx0ppvCUMBhStTTxpymQaZ2VCg81mdBuD/linah.jpg)
LINAH: WANAUME WAFUPI SIYO ‘UGONGWA’ WANGU
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tatizo letu ni uoga!
MWANZONI mwa mwezi huu, nilitembelea mkoa wa Tabora na kufanya utafiti wa kihabari juu ya maendeleo ya elimu ya awali katika Wilaya ya Tabora Mjini (Manispaa). Niliyoyaona huko nitawajuza katika...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Huu ni uoga au JK anawakomoa CCM?
KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemaliza kikako chake muhimu mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete na kuazimia mambo ya kitoto sana wakati huu ambapo...
9 years ago
Bongo529 Dec
Mama wa Mtoto wangu wa nne ndiye atakuja kuwa mke wangu – Nay Wa Mitego
![Chagga-na-Nay](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Chagga-na-Nay-300x194.jpg)
Nay Wa Mitego ni staa ambaye miezi michache iliyopita alikuwa hakosekani kwenye ‘headlines’ kutokana na uhusiano wa kimapenzi na muigizaji wa Bongo movie, Shamsa Ford uliokuwa ukifatiliwa sana na mashabiki wao.
Uhusiano wa Nay na Shamsa ambao kwa mujibu wa Nay ulidumu kwa takribani miezi mitano, ulizaliwa muda mfupi baada ya Nay kuachana na mama wa mtoto wake wa tatu Curtis, Siwema ambaye baada ya kujifungua mtoto huyo waliachana na Nay kumchukua mwanaye.
Chagga Barbie na Nay Wa Mitego
Siku...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fXUwj8AcBIlkFoOtGIWi2WTrC-EbDaDZYf*VnfC038oJEfTUjJ4xVMbqPr7bAhphV222lSS034ADfWSENkyYLtK79hQri4oY/wananitesa.jpg)
MAMA: WACHAWI WANANITESA, WATOTO WANGU 8, MUME WANGU WAMEKUFA KWA UGONJWA WA AJABU
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Sitta anajitesa kwa uoga, unafiki wake
MCHAKATO wa katiba mpya umekwama kwa sababu kubwa mbili. Mosi ni ukigeugeu wa Rais Jakaya Kikwete na Chama chake Cha Mapinduzi (CCM), pili ni uoga na unafiki wa Mwenyekiti wa...