Huu ni uoga au JK anawakomoa CCM?
KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemaliza kikako chake muhimu mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete na kuazimia mambo ya kitoto sana wakati huu ambapo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s72-c/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
NEWS UPDATES KUTOKA CCM DODOMA USIKU HUU: USIRI WATAWALA TANO BORA YA WAGOMEA WA CCM
![](http://4.bp.blogspot.com/-XEIdhPPZLm0/VaBGzpPMWSI/AAAAAAAHolE/vpEifNQuadY/s640/MMGL0534%2Bcopy.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-z4Uq9w0zHLs/VaBGzn6DqgI/AAAAAAAHolI/Nu6JVNE1TzU/s640/MMGL0557%2Bcopy.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-A4cH7mxufzM/VaBGuZJB5HI/AAAAAAAHok8/CYZljJxlGHo/s640/IMG_8016%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tatizo letu ni uoga!
MWANZONI mwa mwezi huu, nilitembelea mkoa wa Tabora na kufanya utafiti wa kihabari juu ya maendeleo ya elimu ya awali katika Wilaya ya Tabora Mjini (Manispaa). Niliyoyaona huko nitawajuza katika...
9 years ago
Bongo519 Dec
Uoga wangu unaniponza jukwaani – Linah
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Ijumaa hii, Linah alipanda kwenye jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015, lakini amegundua kuwa uoga unamponza.
Akizungumza na Bongo5 akiwa Nigeria, Linah amesema woga unamfanya apoteze kujiamini jukwaani.
“Kwa jinsi nilivyofanya show, naona njia ni nyeupe ya kuwa staa wa kimataifa, kikubwa kujiamini na kujikubali. Uoga huwa unaniangusha, sura ngeni, muziki wangu mgeni, lugha niliyotumia pia labda...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Sitta anajitesa kwa uoga, unafiki wake
MCHAKATO wa katiba mpya umekwama kwa sababu kubwa mbili. Mosi ni ukigeugeu wa Rais Jakaya Kikwete na Chama chake Cha Mapinduzi (CCM), pili ni uoga na unafiki wa Mwenyekiti wa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
CORONA:'PAPA AWATAKA WATU KUTOKUBALI KUSHINDWA NA UOGA'
![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s640/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki alizungumza wakati wa sherehe za pasaka Jumamosi, katika kanisa la St Peter's Basilica ambalo lilikuwa na watu wachache.
Waumini wa Kikatoliki bilioni 1.3 kote duniani wana fursa ya kufuatilia ibada ya moja kwa moja mtandaoni.
Marufuku ya watu kutokutoka majumbani bado inaendelezwa katika maeneo mbalimbali nchini Italia ambako...
10 years ago
Bongo513 May
Wasanii wa Tanzania kutotoa album ni uzembe, uoga na kutojiamini!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s72-c/DSC_0466-768x512.jpg)
SPIKA MSTAAFU ANNE MAKINDA AWATAKA WANAWAKE KUACHA UOGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hbwf3SWxfFE/Xlf7YV8RN2I/AAAAAAAA9H0/yREK6B889mQllKCSsXMnAyjqgaoiyUdTACNcBGAsYHQ/s640/DSC_0466-768x512.jpg)
Spika msaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Anne Makinda amewataka wanawake nchini kuacha uoga katika wakati wa mapambano ya kutafuta fursa mbalimbali za kielimu, uchumi na siasa vinginevyo masuala ya usawa wa kijinsia itabaki kuwa ndoto.
Makinda amesema hayo jijini DODOMA katika Kongamano la uzinduzi wa Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani ambalo pamoja na mambo mengine limejadili utekelezaji wa maazimio ya ulingo wa Beijing yaliyowekwa miaka 25 iliyopita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bcutGTjgzL0/Xlf8BzpC1sI/AAAAAAAA9IM/LVbjMEMKwDMG32B2FVbmjL1nlG3Us1JjwCNcBGAsYHQ/s640/IMG_6532AA.jpg)
Amesema wanawake...
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Papa awataka watu 'kutokubali kushindwa na uoga'
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Utaratibu huu utanusuru CCM 2015 — 2
JUMAPILI iliyopita nilieleza kwa kirefu chimbuko la kundi la mtandao, na leo naendelea na uchambuzi huo kwa kutazama anguko lake na nafasi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao 2015… Kinyume...