Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utaratibu huu utanusuru CCM 2015 — 2

JUMAPILI iliyopita nilieleza kwa kirefu chimbuko la kundi la mtandao, na leo naendelea na uchambuzi huo kwa kutazama anguko lake na nafasi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao 2015… Kinyume...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa

Kamati ya Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi wa Wazalendo wa Afrika Kusini,Nelson Mandela imeanza kupanga utaratibu wa mapokezi ya wageni mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya kiongozi huyo nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Mwananchi

Utaratibu huu wa kupitisha Katiba haufai

Marekebisho yaliyofanywa juzi na Bunge la Katiba kwenye baadhi ya kanuni zake ili kuruhusu wajumbe wake watakaokuwa nje ya Bunge wapige kura za kuamua sura au ibara za Rasimu ya Katiba umelalamikiwa na wananchi wengi.

 

11 years ago

CloudsFM

UTARATIBU WA SHINDANO LA SERENGETI SUPA NYOTA MWAKA HUU WABADIRISHWA

Baada ya shindano la kusaka vipaji la serengeti Supa Nyota kuendeshwa kwa miaka miwili mwaka huu utaratibu umebadilika kidogo kwani haitohusisha washiriki wa jinsia zote na badala yake akina dada pekee ndiyo watakaoruhusiwa kushiriki Supa Nyota Diva. First Lady wa Supa Nyota mwanadada Ney Lee, anamwita first lady kwa sababu mpaka sasa hivi hakuna binti aliyewahi kushinda katika Serengeti Supa Nyota zaidi yake, ambapo amewataka akinadada wote wenye vipaji wajitokeze kwa wingi katika shindano...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: WE NI MJASIRIAMALI, UNATAKA KUFUNGUA SHULE, UTARATIBU MWEPESI NI HUU.

Wapo Watanzania ambao ndoto zao ni kumiliki shule. Ninapoongelea shule simaanishi lazima  yawe yale mashule makubwa. Hata shule za awali ambazo zinaanzishwa na wajasiriamali wadogo mitaani nazo ni shule kwa  maana hii katika makala haya.

Nyaraka kuu inayoongoza  taratibu za usajili wa shule binafsi huitwa fomu namba RS8. Huu ndio mwongozo mkuu wa usajili. Kuna mambo ya msingi na ya kisheria ambayo  mtu hutakiwa kujiandaa nayo iwapo  anataka kuanzisha shule binafsi.Mambo haya huwa...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UNATAKA KUFANYA TRANSFER (KUBADILI JINA) LA KIWANJA/NYUMBA, UTARATIBU WA HARAKA NI HUU

Na  Bashir  Yakub.
Watu wengi wamenunua viwanja/nyumba  lakini mali hizo zimeendelea  kubaki katika  majina  ya waliowauzia. Wapo ambao  imepita  hata  miaka  kumi  tangu wanunue  maeneo   lakini  bado  hawajabadili  jina kuingia  jina  lake. Zipo sababu  nyingi  zinazosababisha  hali hiyo  lakini  moja  ni  watu  kutokujua  umuhimu  wa kubadili  jina  kwa haraka. 
Hapa sizungumzii  tu  kubadili jina  isipokuwa nazungumzia  kubadili  jina  kwa haraka. Kupitia  makala  haya  napenda  kuwaamsha...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: USIFANYE MAKOSA, HUU NDIO UTARATIBU WA KUNUNUA NYUMBA ILIYOWEKWA REHANI/DHAMANA BENKI

Na   Bashir  Yakub
Nimewahi kuandika  mara  kwa  mara  kuhusu  utaratibu  mzuri  wa  kumwezesha  mtu kununua nyumba  huku  akiwa ameepuka  mgogoro. Nilitahadharisha  sana  kuhusu  migogoro  ya  ardhi  ambayo  sasa  imekuwa  janga  la  kitaifa  hapa  kwetu. Nakumbuka  moja  kati  ya  mambo  niliyoeleza   ni  kuwa utaratibu  wa  manunuzi  ya  nyumba/viwanja unatofautiana.Nikasema kwamba  tofauti  zake  zinatokana  na  ukweli  kuwa   kila  nyumba  ina mazingira  yake. Hata  hivyo sikusema...

 

10 years ago

Michuzi

JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.

Wakopwaji/wadaiwa  wamekuwa  wakipata shida sana  kutoka  kwa wanaokopesha. Mkopesha awe ni mtu binafsi, taasisi ya fedha , kampuni  binafsi au mwingine  yeyote  wamekuwa  wakiwasumbua sana  wadeni  wao. Kubwa  zaidi hasa taasisi za fedha hutumia masharti ya mikataba ambayo  huwa yameandaliwa kitaalam kiasi cha  mtu ambaye  si mwanasheria  kutoelewa kwa undani maana  yake  kuwabana wadeni  ambao  hushtukia  masharti hayo baada  ya  kuwa wameshaanza  kudaiwa. Mbaya  zaidi  wamekuwa  wakifanya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaokiuka utaratibu kutwaa madaraka, watavuruga utaratibu, wadumu milele

Kuanzia Mei 30, mwaka huu, taifa limeshuhudia kuanza rasmi kwa zoezi la kutangazania na kuchukua fomu kwa wanaokusudia kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

 

10 years ago

GPL

CHADEMA WATOA UTARATIBU UTEUZI WA WAGOMBEA UCHAGUZI MKUU 2015

Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar, Salum Mwalim (katikati) akitoa taarifa hiyo. Kushoto ni Katibu Mkuu Baraza la Wazee Taifa, Roderick Lutembeka na kulia ni Mkurugenzi wa Bunge ndani ya Chadema Halimashauri Kuu, John Mrema. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo. CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo kimetoa taarifa yake juu ya utaratibu utakaotumika katika uteuzi wa wagombea ndani ya chama hicho kwa mwaka wa 2015....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani