UTARATIBU WA SHINDANO LA SERENGETI SUPA NYOTA MWAKA HUU WABADIRISHWA
Baada ya shindano la kusaka vipaji la serengeti Supa Nyota kuendeshwa kwa miaka miwili mwaka huu utaratibu umebadilika kidogo kwani haitohusisha washiriki wa jinsia zote na badala yake akina dada pekee ndiyo watakaoruhusiwa kushiriki Supa Nyota Diva. First Lady wa Supa Nyota mwanadada Ney Lee, anamwita first lady kwa sababu mpaka sasa hivi hakuna binti aliyewahi kushinda katika Serengeti Supa Nyota zaidi yake, ambapo amewataka akinadada wote wenye vipaji wajitokeze kwa wingi katika shindano...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2013/12/DSC_00181.jpg?width=640)
MOUREEN AIBUKA SUPA STAA WA SHINDANO LA MO KIDS GOT TALENT 2013
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
10 years ago
Michuzi07 Nov
SHINDANO LA MODEL OF TOURISM KUFANYKA NOVEMBA 22 MWAKA HUU JIJINI ARUSHA
![SAM_1076](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/SdnN5edCvFCNGoCQD9M_62gv0sLwVaodgtJPOw1eljpl95l2ldQjrdTFO_CPcxsjvUJ8Vg_R1WicjnK1JAnrTp8M8c4ORL4-x1W0Fx117z7d3I0=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/11/sam_1076.jpg)
11 years ago
CloudsFM22 Jul
'SUPA NYOTA' NEY LEE AREKODI VIDEO YA NGOMA YAKE MPYA YA ’NIPE MUDA’ NCHINI ZAMBIA
Msanii zao la Supa Nyota 2012 Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Utaratibu huu wa kupitisha Katiba haufai
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Utaratibu huu utanusuru CCM 2015 — 2
JUMAPILI iliyopita nilieleza kwa kirefu chimbuko la kundi la mtandao, na leo naendelea na uchambuzi huo kwa kutazama anguko lake na nafasi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao 2015… Kinyume...
11 years ago
Mwananchi09 Dec
Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Shindano la Serengeti Masta lahitimishwa kanda ya ziwa
Mshindi wa jumla washindanola Serengeti Masta kwa wakazi wa kanda ya ziwa Said Kanolo (kushoto) akipokea fedha taslim Tsh. 100,000/= kutoka kwa Afisa mauzo wa Kampuni ya bia ya Serengeti Joan Semguruma, (kulia) wakati wa shindano la mwisho kwa kanda ya ziwa la bia hiyo lililofanyika katika baa ya Shooters iliyopo Barabara ya Airport jijini Mwanza. Ushindi wa jumla wa Bw. Kanolo kwa wateja wa kanda ya ziwa umekuja baada ya kuwashinda wateja wengi walioshiriki katika kutambua ladha halisi ya...
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Serengeti Fiesta ‘Super Nyota Divas’ kutua Dar
WASANII wa kike 15 (Super Nyota Divas) waliopatikana katika Tamasha la Serengeti Fiesta kutoka mikoa mbalimbali nchi wanatarajiwa kutua jijini Dar es Salaam kushuhudia shoo ya msanii wa Marekani T.i...