FAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
Wawezeshaji na Wadhamini wa shindano la Tanzania Movie Talent (TMT),Jaji Mkuu,Loy Sarungi(wa kwanza kutoka kushoto),Jaji katika shindano hilo Single Mtambalike(wa kwanza kutoka kushoto),Meneja Mawasiliano na Masoko wa Proin Promotion,Josephat Lukaza,Meneja Bidhaa wa Paisha,Godfrey Fataki na Meneja Masoko wa ITV,Ernest Dilli wakizungumza na waandishi wa habari kuhusu Fainali ya Shindano la Tanzania Movie Talent (TMT) litakalofanyika Agosti 22 katika Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Washiriki 10 wa shindano la TMT wafanikiwa kuingia fainali, mshindi mmoja kuondoka na milioni 50 katika ukumbi wa Mlimani City tarehe 30 mwezi huu
Majaji wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) wakifuatilia Filamu fupi iliyochezwa na baadhi ya washiriki wa Shindano la Tanzania Movie talents (TMT) wakati ilipokua ikionyeshwa kwenye runinga kubwa katika Ukumbi wa Makumbusho. Kutoka Kulia ni Single Mtambalike au Rich Rich katikati ni Vyonne Cherry au Monalisa na Kushoto ni Jaji Mkuu wa Shindano hilo Roy Sarungi.
Mahosti wa Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) Joti na Lulu wakiwajibika katika Jukwaa la Ukumbi wa Makumbusho ya...
11 years ago
GPLWIKI 3 KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TMT, WASHIRIKI WENGINE 2VWAAGA SHINDANO
9 years ago
MichuziFAINALI YA BSS 2015 KUFANYIKA OKTOBA 9 MWAKA HUU JIJINI DAR ES SALAAM
9 years ago
Habarileo20 Aug
Fainali TMT Agosti 22
FAINALI za shindano la kusaka na kuibua vipaji vya uigizaji Tanzania (TMT) zinatarajiwa kufanyika Agosti 22 ambapo atajinyakulia Sh milioni 50. Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Meneja Masoko wa kampuni ya Proin Promotions, Josephat Lukaza alisema fainali hizo zitafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
9 years ago
Michuzi19 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINANDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA UCHEKESHAJI KUFANYIKA OKTOBA 3 MWAKA HUU JIJINI DAR
11 years ago
MichuziWIKI TATU KUELEKEA FAINALI YA SHINDANO LA TANZANIA MPVIE TALENTS (TMT), WASHIRIKI WENGINE WAWILI WAAGA SHINDANO WIKI HII
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Maonyesho ya SIDO kwa wajasiriamali kwa kanda ya kati kufanyika Agosti 26 hadi Septemba Mosi mwaka huu Mkoani Singida
![DSC01201](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01201.jpg)
![DSC01193](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/08/DSC01193.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/tmtv.jpg)
FAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA