Fainali TMT Agosti 22
FAINALI za shindano la kusaka na kuibua vipaji vya uigizaji Tanzania (TMT) zinatarajiwa kufanyika Agosti 22 ambapo atajinyakulia Sh milioni 50. Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Meneja Masoko wa kampuni ya Proin Promotions, Josephat Lukaza alisema fainali hizo zitafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeOJdQAI0xtBILIEYjBDcsP6ESeAhRVqJu8F4NAu3Q*7Lub0ESL*Cmz6d78A1zrrBgWG9by9xoNnfgQJIirZw4R/TMT.jpg?width=650)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/tmtv.jpg)
FAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA
SIKU zikiwa zinahesabika kufikia Agosti 22, ndani ya Ukumbi wa Makumbusho, Posta jijini Dar ambapo shindano la kusaka vipaji vya kuigiza la Tanzania Movie Talents (TMT) linatarajiwa kufika kileleni, mshindi katika shindano hilo anatarajiwa kuweka historia ya aina yake. Akizungumza na Centre Spread, Meneja Mradi wa TMT, Saul Mpock alisema kuwa mwaka jana ambao ulikuwa ni msimu wa kwanza wa shindano hilo, Mwanaafa Mwinzago (13)...
9 years ago
GPLKUELEKEA FAINALI 10 BOLA TMT WALIVYOPOKELEWA GLOBAL
Washiriki wakisikiliza kwa makini. MWISHONI mwa wiki iliyopita, washiriki walioingia kumi bora katika shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT) walitinga ndani ya Jengo la Global Publishers, Bamaga-Mwenge jijini Dar. Mhariri kiongozi wa Championi Saleh Ally, akizungumza na washiriki hao…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzepA0Xrp1npx820Z71lTD7d0AYZrGTaBSHzaaOa8Ybu0F8uEwpnslHPdxr0oAeFw6PBGrW*fW-G5fWYkT1sIs02/miss.jpg?width=650)
FAINALI MISS TEMEKE 2014 KUFANYIKA AGOSTI 22
Vimwana wa Miss Temeke 2014 wakiwa kwenye pozi la pamoja ikiwa ni sehemu ya maandalizi yao ya kuelekea kwenye kinyang'anyiro chao kitakachofanyika kwenye Ukumbi wa TCC, Chang'ombe jijini Dar es Salaam Agosti 22, 2014. Jumla ya washiriki 17 watapanda jukwaani siku hiyo kuwania taji hilo. Warembo…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-5d9t5ec6ePo/VcnI93GBRPI/AAAAAAAAhwI/DhlA9svl9vE/s72-c/tmtv.jpg)
FAINALI YA TMT KUFANYIKA TAREHE 22 AUGUST NDANI YA MAKUMBUSHO YA TAIFA JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-5d9t5ec6ePo/VcnI93GBRPI/AAAAAAAAhwI/DhlA9svl9vE/s640/tmtv.jpg)
9 years ago
VijimamboFainali TMT 2015 #mpakakieleweke kufanyika tarehe 22 August Makumbusho ya Taifa Posta.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t8oueEU5ZFIbylWiC6k6L0ujTF3Z4j1aPrWuUBQHeiqpdzV*9RUGt4qV0U-lQ8wAapcGFZXOEM53zoWd2K2*IdsO4cF0uu6U/bella.jpg?width=650)
CHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
Msanii wa Muziki wa Dansi, Christian Bella. Na Josephat Lukaza Msanii wa Muziki wa Dansi anayejulikana kama Christian Bella anayetamba na kibao chake cha Nani Kama Mama ni Mmoja wa Wasanii watakaotoa Burudani ya Kufa mtu katika Ukumbi wa Mlimani City Siku ya Jumamosi Tarehe 30 katika Fainali kubwa ya Shindano la Tanzania Movie Talents (TMT). Bella Amehaidi kutoa Burudani ya uhakika ambapo wapenzi wa muziki wake watafurahi na...
10 years ago
GPL‘TANZANIA MOVIE TALENTS’ FAINALI KUFANYIKA AGOSTI 30
Kutoka kushoto ni Ofisa Uhusiano wa TMT, Josephat Lukaza, Mwalimu wa Nidhamu Julieth Samson ‘’Kemmy’’ , Mratibu wa shindano, Joshua Moshi, na mchekeshaji MC Pilipili wakiwa mbele ya wanahabari ( hawapo pichani). Wanahabari na wadau wakisikiliza taarifa ya fainali za TMT.…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania