FAINALI YA TMT NDIO HABARI YA MJINI
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog19 Aug
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Diamond Platnumz ndio habari ya mjini
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasseb Abdul ‘Diamond’, jana amesherehekea tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki ya AFRIMMA kwa kupita mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam hadi nyumbani kwao alikokulia, Tandale.
Katika eneo hilo kulikuwa na muziki kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi9 years ago
Habarileo20 Aug
Fainali TMT Agosti 22
FAINALI za shindano la kusaka na kuibua vipaji vya uigizaji Tanzania (TMT) zinatarajiwa kufanyika Agosti 22 ambapo atajinyakulia Sh milioni 50. Akizungumza na waandishi wa habari jana Dar es Salaam, Meneja Masoko wa kampuni ya Proin Promotions, Josephat Lukaza alisema fainali hizo zitafanyika katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa.
9 years ago
GPLFAINALI SHINDANO LA TMT, MSHINDI KUANDIKA HISTORIA
9 years ago
GPLKUELEKEA FAINALI 10 BOLA TMT WALIVYOPOKELEWA GLOBAL
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
10 years ago
GPLCHRISTIAN BELLA KUTOA BURUDANI KATIKA FAINALI YA TMT TAREHE 30 AUGUST 2014
9 years ago
VijimamboFainali TMT 2015 #mpakakieleweke kufanyika tarehe 22 August Makumbusho ya Taifa Posta.