Diamond Platnumz ndio habari ya mjini
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasseb Abdul ‘Diamond’, jana amesherehekea tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki ya AFRIMMA kwa kupita mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam hadi nyumbani kwao alikokulia, Tandale.
Katika eneo hilo kulikuwa na muziki kwa ajili ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s72-c/Nasib.jpg)
HII NDIO VIDEO MPYA KUTOKA KWA DIAMOND PLATNUMZ AFANYA NA HANSCANA
![](http://4.bp.blogspot.com/-wQBo6DQkfVg/VPcSdzH5RRI/AAAAAAAAuEk/Cbz_SUiqFII/s640/Nasib.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/w3eiFFRDzzeOJdQAI0xtBILIEYjBDcsP6ESeAhRVqJu8F4NAu3Q*7Lub0ESL*Cmz6d78A1zrrBgWG9by9xoNnfgQJIirZw4R/TMT.jpg?width=650)
10 years ago
GPLUSIKU WA DIAMOND PLATNUMZ WAFANA MJINI DODOMA
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya makamuzi ya nguvu usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma kwenye Usiku wa Diamond Platnumz. Diamond akiwadatisha mashabiki wake waliofurika kwa ajili ya Usiku wa Diamond…
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania