USIKU WA DIAMOND PLATNUMZ WAFANA MJINI DODOMA
Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya makamuzi ya nguvu usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma kwenye Usiku wa Diamond Platnumz. Diamond akiwadatisha mashabiki wake waliofurika kwa ajili ya Usiku wa Diamond…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mtanzania31 Jul
Diamond Platnumz ndio habari ya mjini
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasseb Abdul ‘Diamond’, jana amesherehekea tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki ya AFRIMMA kwa kupita mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam hadi nyumbani kwao alikokulia, Tandale.
Katika eneo hilo kulikuwa na muziki kwa ajili ya...
10 years ago
VijimamboOFFICIAL PHOTOS :- ILIVYOKUWA USIKU WA UHURU NA DIAMOND PLATNUMZ WASHINGTON DC DEC 6 # TATIZO NYOTAAA !
KWA PICHA ZAIDI BOFYA WWW.DMK411.BLOGSPOT.COM
10 years ago
VijimamboOFFICIAL PHOTOS :- NDANI YA UKUMBI ILIVYOKUWA USIKU WA UHURU NA DIAMOND PLATNUMZ WASHINGTON DC DEC 6 #UKODAKIMOMENT
Mhe Balozi akiwasili akiongozana na Waandaaji Bwana DMK na Bwana Innocent
Mh Mbunge Leticia Nyerere katika meza moja na Promota Phanuel
KWA PICHA ZAIDI BOFYA...
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
MO, Diamond Platnumz kutikisa Singida mjini mchana huu
Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida.
Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili kuhutubia Mkutano mkubwa ambao atawasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya mwaka 2005/2010 na 2010/2015 ambapo Mwanamuziki wa kimataifa Nassib Abdul almaarufu kama Diamond Platnumz...
10 years ago
Dewji Blog23 Dec
Official Photos : Ndani ya ukumbi ilivyokuwa usiku wa Uhuru na Diamond Platnumz Washington DC Dec 6 #Ukodak Moment
Mhe Balozi akiwasili akiongozana na Waandaaji Bwana DMK na Bwana Innocent
Mh Mbunge Leticia Nyerere katika meza moja na Promota Phanuel.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA WWW.DMK411.BLOGSPOT.COM
10 years ago
Dewji Blog01 Feb
Diamond Platnumz atua na mpenzi wake Zari mjini Songea
Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA).
Diamond Platnumz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.
Mkuu wa wilaya ya...
10 years ago
GPLMO, DIAMOND PLATNUMZ KUTIKISA SINGIDA MJINI MCHANA HUU
11 years ago
MichuziMoto wa wateketeza maduka matatu na mgahawa mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo