Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIKU WA DIAMOND PLATNUMZ WAFANA MJINI DODOMA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya makamuzi ya nguvu usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma kwenye Usiku wa Diamond Platnumz. Diamond akiwadatisha mashabiki wake waliofurika kwa ajili ya Usiku wa Diamond…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mtanzania

Diamond Platnumz ndio habari ya mjini

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasseb Abdul ‘Diamond’, jana amesherehekea tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki ya AFRIMMA kwa kupita mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam hadi nyumbani kwao alikokulia, Tandale.

Katika eneo hilo kulikuwa na muziki kwa ajili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

OFFICIAL PHOTOS :- ILIVYOKUWA USIKU WA UHURU NA DIAMOND PLATNUMZ WASHINGTON DC DEC 6 # TATIZO NYOTAAA !





























                              KWA PICHA ZAIDI  BOFYA WWW.DMK411.BLOGSPOT.COM

 

10 years ago

Vijimambo

OFFICIAL PHOTOS :- NDANI YA UKUMBI ILIVYOKUWA USIKU WA UHURU NA DIAMOND PLATNUMZ WASHINGTON DC DEC 6 #UKODAKIMOMENT

Mapromota Walioandaa Party ya Uhuru  Washington DC Katika Picha Na MHE. Balozi Mulamula kutoka kushoto ni  DMK , Balozi Mulamula , Innocent ,Phanuel
                        Mhe Balozi akiwasili akiongozana na Waandaaji Bwana DMK na Bwana Innocent

                              Mh Mbunge  Leticia Nyerere katika meza moja na Promota Phanuel


KWA PICHA ZAIDI BOFYA...

 

10 years ago

Dewji Blog

MO, Diamond Platnumz kutikisa Singida mjini mchana huu

IMG_7330

Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida.

IMG_7331

Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili kuhutubia Mkutano mkubwa ambao atawasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya mwaka 2005/2010 na 2010/2015 ambapo Mwanamuziki wa kimataifa Nassib Abdul almaarufu kama Diamond Platnumz...

 

10 years ago

Dewji Blog

Official Photos : Ndani ya ukumbi ilivyokuwa usiku wa Uhuru na Diamond Platnumz Washington DC Dec 6 #Ukodak Moment

Mapromota Walioandaa Party ya Uhuru  Washington DC Katika Picha Na MHE. Balozi Mulamula kutoka kushoto ni  DMK , Balozi Mulamula , Innocent ,Phanuel

Mhe Balozi akiwasili akiongozana na Waandaaji Bwana DMK na Bwana Innocent

Mh Mbunge  Leticia Nyerere katika meza moja na Promota Phanuel.

8U5A0250

8U5A0251

KWA PICHA ZAIDI BOFYA WWW.DMK411.BLOGSPOT.COM

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Platnumz atua na mpenzi wake Zari mjini Songea

1

Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA).

2

Diamond Platnumz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.

3

Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

GPL

MO, DIAMOND PLATNUMZ KUTIKISA SINGIDA MJINI MCHANA HUU‏

Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida. Mwanamuziki wa kimataifa, Diamond Platnumz akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Singida, Jumanne Hamis Nguli. Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili...

 

11 years ago

Michuzi

Moto wa wateketeza maduka matatu na mgahawa mjini Dodoma usiku wa kuamkia leo

Wananchi wa mji wa Dodoma wakiangalia sehemu ya madhara ya tukio la moto uliotokea usiku wa kuamkia leo katika baadhi ya maduka yaliopo kwenye Barabara ya Nyerere Karibu na Makao makuu ya CCM mjini Dodoma,moto huo umeteketeza maduka matatu na mgahawa wa New Chick Villa Reustaurant. Maduka yaliyoathirika na moto huo ni Gulio La Mahafa Duka lililokuwa linauza bidhaa mbali mbali kwa jumla na reja reja zikiwamo bidhaa za Bakhresa,Duka la Esheki Investment lililo kuwa likiuza bidhaa za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani