Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MO, Diamond Platnumz kutikisa Singida mjini mchana huu

IMG_7330

Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida.

IMG_7331

Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili kuhutubia Mkutano mkubwa ambao atawasilisha taarifa ya utekelezaji wa ilani ya mwaka 2005/2010 na 2010/2015 ambapo Mwanamuziki wa kimataifa Nassib Abdul almaarufu kama Diamond Platnumz...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MO, DIAMOND PLATNUMZ KUTIKISA SINGIDA MJINI MCHANA HUU‏

Mbunge wa Singida mjini, Mh. Mohammed Dewji akishuka kwenye ndege mara tu baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida. Mwanamuziki wa kimataifa, Diamond Platnumz akilakiwa na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Singida, Jumanne Hamis Nguli. Mh. Mohammed Dewji akilakiwa na Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Mazala mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Singida mjini kwa ajili...

 

11 years ago

Mtanzania

Diamond Platnumz ndio habari ya mjini

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Naseeb Abdul ‘Diamond’ akiwa na tuzo yake akizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kuwasili jana akitokea Marekani

NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM

MSANII mahiri wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasseb Abdul ‘Diamond’, jana amesherehekea tuzo yake ya Msanii Bora wa Kiume Afrika Mashariki ya AFRIMMA kwa kupita mitaa mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam hadi nyumbani kwao alikokulia, Tandale.

Katika eneo hilo kulikuwa na muziki kwa ajili ya...

 

10 years ago

GPL

USIKU WA DIAMOND PLATNUMZ WAFANA MJINI DODOMA

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' akifanya makamuzi ya nguvu usiku wa kuamkia leo ndani ya Ukumbi wa Matei Lounge, Area D mkoani Dodoma kwenye Usiku wa Diamond Platnumz. Diamond akiwadatisha mashabiki wake waliofurika kwa ajili ya Usiku wa Diamond…

 

10 years ago

Dewji Blog

Diamond Platnumz atua na mpenzi wake Zari mjini Songea

1

Mwanamuziki Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari wakiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea tayari kwa kufanya onesho kubwa kwenye sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM zinazofanyika kwenye uwanja wa Majimaji mjini Songea leo ambapo viongozi mbalimbali wakiongozwa na Mwenyekiti wa chama hicho Dr. Jakaya Kikwete.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-SONGEA).

2

Diamond Platnumz akiongozana na mpenzi wake Zari wakiondoka kwenye uwanja wa ndege wa Songea kuelekea hotelini.

3

Mkuu wa wilaya ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani