KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAELEKEZA UCHAGUZI WA TEFA KUFANYIKA AGOSTI 23 MWAKA HUU
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMATI ya uchaguzi DRFA inaelekeza kamati ya uchaguzi ya TEFA kufanya uchaguzi wa viongozi,jumapili tarehe 23/08/2015 katika ukumbi wa JKT kama ilivyopangwa kufanyika hapo awali.Kamati pia inapenda kuutarifu umma kuwa mchakato huu una Baraka zote kutoka TFF,hivyo uingiliaji wowote unakwenda kinyume na ibara ya 6(1)ya kanuni za uchaguzi za TFF 2013 na ibara za 52(6) na 56(6)(a) za katiba ya TFF ambazo zinaelekeza kuwa majukumu ya uchaguzi yapo chini ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi21 Aug
KAMATI YA UCHAGUZI DRFA YAPANGUA AGIZO LA KAMATI YA UCHAGUZI TFF KUSIMAMISHA UCHAGUZI WA TEFA
Baada ya kupitia kwa umakini kanuni za uchaguzi za TFF za mwaka 2013 ibara ya 6, na kujiridhisha kuwa hakuna kipengele chochote kinachoruhusu kamati ya uchaguzi ya TFF kuingilia kati...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-XTKYkZb53v8/Vc8syl7XL0I/AAAAAAABFEI/cRuIPwwBlqg/s72-c/BALL.jpg)
TFF YAIRUHUSU DRFA KUENDELEA NA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA TEFA,KAMA ULIVYOPANGWA KUFANYIKA KESHO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XTKYkZb53v8/Vc8syl7XL0I/AAAAAAABFEI/cRuIPwwBlqg/s320/BALL.jpg)
Baada ya ruhusa hiyo Uongozi wa DRFA umemuandikia barua katibu wa TEFA Kasim Mustapha ili aijulishe kamati ya uchaguzi ya chama hicho kuendelea na mchakato huo kama kawaida.
Awali TFF iliiandikia barua DRFA kushauri kusimamishwa kwa uchaguzi huo,kutokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s72-c/KINYOYA.jpg)
UCHAGUZI MKUU WA TBA KUFANYIKA JUNI 10 MWAKA HUU.
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQuT2LGMQ6M/VVs2D4rLpiI/AAAAAAAC4tg/8eGisUk0qeo/s320/KINYOYA.jpg)
Baraza la Michezo la Taifa (BMT) limesogeza mbele siku ya kufanya uchaguzi wa Chama cha Mchezo wa Vinyoya Tanzania (TBA) ambapo unatarajiwa kufanyika Juni 10
mwaka huu katika ukumbi wa Baraza hilo.
Hayo yamesemwa na Afisa habari Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Najaha Bakari wakati akizungumza na Mwandishi wetu kwa Njia ya simu.
Pia Najaha amesema kuwa Baraza hilo linaongeza muda wa kuchukua na kurudisha fomu za Uchaguzi wa Viongozi wa Chama cha Mchezo wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3I-9LvQkoORSGJBhpIG6uCjboMYKY2zp0DSUul0a4xHDfsTZFMJGIeqtNunWukue6t2ZCwdj9wcJqViKMrEBvWNa5yYAjCNJ/amir.jpg)
UCHAGUZI MKUU TASWA KUFANYIKA FEBRUARI 16 MWAKA HUU
9 years ago
MichuziTAMASHA LA KUOMBEA AMANI KUELEKEA UCHAGUZI MKUU KUFANYIKA OKTOBA 4 MWAKA HUU.
10 years ago
Michuzi16 Feb
9 years ago
MichuziFAINALI ZA SHINDANO LA TMT KUFANYIKA AGOSTI 22 MWAKA HUU
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s72-c/TASWALOGO.jpg)
UCHAGUZI WA KAMATI YA UTENDAJI YA TASWA KUFANYIKA MACHI 2,2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-JPg6mHxOD6U/UwdEPsEnHXI/AAAAAAAFOm4/LDfYxrNZmdQ/s1600/TASWALOGO.jpg)
Fomu kwa ajili ya waombaji uongozi zinaanza kutolewa Jumatatu (Februari 24 mwaka huu) kwenye ofisi za Idara ya Habari. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni Alhamisi (Februari 27 mwaka huu) saa 9 alasiri.
Ada kwa wagombea wa nafasi za Mwenyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu Mkuu, Katibu Msaidizi, Mhazini na Mhazini Msaidizi ni sh. 50,000 kwa fomu....