Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Utaratibu huu wa kupitisha Katiba haufai

Marekebisho yaliyofanywa juzi na Bunge la Katiba kwenye baadhi ya kanuni zake ili kuruhusu wajumbe wake watakaokuwa nje ya Bunge wapige kura za kuamua sura au ibara za Rasimu ya Katiba umelalamikiwa na wananchi wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba

>Wakati Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba ukifikia hatua ya Kura ya maoni inayotarajiwa kupigwa Aprili 30 mwaka huu, watu wameendelea kutoa maoni yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba: Msikurupuke kupitisha Katiba Mpya

Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewataka Watanzania kutokurupuka kuipitisha Katiba Inayopendekezwa kwa kuwa imeyaacha kando maoni yao mengi na akawataka waisome kwa makini kabla ya kuikubali au kuikataa.

 

11 years ago

Mwananchi

Utaratibu wa mazishi ya Mandela huu hapa

Kamati ya Maandalizi ya Mazishi ya Kiongozi wa Wazalendo wa Afrika Kusini,Nelson Mandela imeanza kupanga utaratibu wa mapokezi ya wageni mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya kiongozi huyo nchini Afrika Kusini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Utaratibu huu utanusuru CCM 2015 — 2

JUMAPILI iliyopita nilieleza kwa kirefu chimbuko la kundi la mtandao, na leo naendelea na uchambuzi huo kwa kutazama anguko lake na nafasi ya CCM katika uchaguzi mkuu ujao 2015… Kinyume...

 

11 years ago

GPL

KUPITISHA RASIMU YA KATIBA BILA UKAWA KUNA MADHARA YAKE

Mwandishi Eric Shigongo WIKI ijayo siku kama ya leo Jumanne, Bunge Maalum la Katiba linatarajiwa kuketi mjini Dodoma kujadili na kupitisha Rasimu ya Katiba kukiwa na wasiwasi kuwa wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), hawataingia kikaoni. Ninachosema ni kwamba Ukawa kukataa kurejea katika vikao vya Bunge hilo kwa kushikilia msimamo wa kutaka ijadiliwe Rasimu ya Katiba ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Jaji Joseph Sinde...

 

11 years ago

Mwananchi

Askofu Munga ashauri Serikali kupitisha Katiba wanayotaka wananchi

Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga ameshauri Serikali kupitisha Katiba ambayo itatenda haki kwa Watanzania kwa kuzingatia kanuni na hekima, badala ya kuingiza matakwa ya kila mtu.

 

11 years ago

CloudsFM

UTARATIBU WA SHINDANO LA SERENGETI SUPA NYOTA MWAKA HUU WABADIRISHWA

Baada ya shindano la kusaka vipaji la serengeti Supa Nyota kuendeshwa kwa miaka miwili mwaka huu utaratibu umebadilika kidogo kwani haitohusisha washiriki wa jinsia zote na badala yake akina dada pekee ndiyo watakaoruhusiwa kushiriki Supa Nyota Diva. First Lady wa Supa Nyota mwanadada Ney Lee, anamwita first lady kwa sababu mpaka sasa hivi hakuna binti aliyewahi kushinda katika Serengeti Supa Nyota zaidi yake, ambapo amewataka akinadada wote wenye vipaji wajitokeze kwa wingi katika shindano...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matokeo rasmi ya kura za kupitisha rasimu ya Katiba Bunge Maalum mjini Dodoma

bunge1

Idadi ya Wabunge ni 219

Waliopiga kura154

Wasiopiga Kura 65

Akidi inayotakiwa kura 146

Kura za NDIYO 147

Kura za HAPANA 7

 

TANGANYIKA

Idadi ya Wabunge 411

Waliopiga kura 335

Wasiopiga Kura 76

Akidi inayotakiwa kura 274

Kura za NDIYO 331

Kura za HAPANA 1 hadi 4

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani