Sitta anajitesa kwa uoga, unafiki wake
MCHAKATO wa katiba mpya umekwama kwa sababu kubwa mbili. Mosi ni ukigeugeu wa Rais Jakaya Kikwete na Chama chake Cha Mapinduzi (CCM), pili ni uoga na unafiki wa Mwenyekiti wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Nov
CCM watuhumiana kwa unafiki kila kona
10 years ago
Mwananchi17 Sep
Fedha zamgonganisha Sitta na katibu wake
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-lgighmXnzqU/VAbhQChtbLI/AAAAAAAABmU/GlpTcthcNmI/s72-c/Samuel%2BSitta.jpeg)
MBIO ZA URAIS 2015 Sitta awararua wapinzani wake
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, ameibuka na kujibu mapigo dhidi ya watu wanaomkejeli na kumtolea lugha za matusi kuwa ni sawa na wachekeshaji wa mfalme.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lgighmXnzqU/VAbhQChtbLI/AAAAAAAABmU/GlpTcthcNmI/s1600/Samuel%2BSitta.jpeg)
Akifungua kikao cha Bunge hilo baada ya...
10 years ago
Mwananchi22 Jun
Kagoli Fundikira, mama wa Samuel Sitta anayemhurumia mtoto wake
10 years ago
Tanzania Daima17 Aug
Tatizo letu ni uoga!
MWANZONI mwa mwezi huu, nilitembelea mkoa wa Tabora na kufanya utafiti wa kihabari juu ya maendeleo ya elimu ya awali katika Wilaya ya Tabora Mjini (Manispaa). Niliyoyaona huko nitawajuza katika...
10 years ago
Tanzania Daima24 Aug
Huu ni uoga au JK anawakomoa CCM?
KAMATI Kuu (CC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemaliza kikako chake muhimu mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete na kuazimia mambo ya kitoto sana wakati huu ambapo...
9 years ago
Bongo519 Dec
Uoga wangu unaniponza jukwaani – Linah
![Linah](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Linah-300x194.jpg)
Ijumaa hii, Linah alipanda kwenye jukwaa moja na wasanii wa Nigeria wakiwemo M.I, Davido, Phyno, Iyanya na Runtown kwenye show ya Soundcity Urban Blast Festival 2015, lakini amegundua kuwa uoga unamponza.
Akizungumza na Bongo5 akiwa Nigeria, Linah amesema woga unamfanya apoteze kujiamini jukwaani.
“Kwa jinsi nilivyofanya show, naona njia ni nyeupe ya kuwa staa wa kimataifa, kikubwa kujiamini na kujikubali. Uoga huwa unaniangusha, sura ngeni, muziki wangu mgeni, lugha niliyotumia pia labda...
10 years ago
Bongo513 May
Wasanii wa Tanzania kutotoa album ni uzembe, uoga na kutojiamini!
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
CORONA:'PAPA AWATAKA WATU KUTOKUBALI KUSHINDWA NA UOGA'
![](https://1.bp.blogspot.com/-1O1RJqb8OTc/XpLxX58IlYI/AAAAAAALm0Q/xBht-RUpc0glS3A5jz1i7REsvrEvPYihQCLcBGAsYHQ/s640/_111760459_gettyimages-1218283560-594x594.jpg)
Kiongozi huyo wa kanisa katoliki alizungumza wakati wa sherehe za pasaka Jumamosi, katika kanisa la St Peter's Basilica ambalo lilikuwa na watu wachache.
Waumini wa Kikatoliki bilioni 1.3 kote duniani wana fursa ya kufuatilia ibada ya moja kwa moja mtandaoni.
Marufuku ya watu kutokutoka majumbani bado inaendelezwa katika maeneo mbalimbali nchini Italia ambako...