UHAMISHAJI FEDHA: ‘Watanzania 99 wanamiliki Sh193 bil Uswisi’
>Ripoti iliyotolewa na Timu ya Wanahabari wa Kimataifa wanaoandika Habari za Uchunguzi (ICIJ), imesema Watanzania 99 wanamiliki Dola za Marekani 114 milioni (Sh193 bilioni) kwenye akaunti za benki nchini Uswisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
Huduma ya Tigopesa na WorldRemit wamerahisisha uhamishaji wa fedha kimataifa kwa Watanzania wanaoishi nje ya nchi
Huduma ya kifedha kwa kutumia njia ya simu ya mkononi ya Tigo ijulikayo kama Tigo Pesa inashirikiana na kampuni ya Worldremit ya Uingereza inayofanya huduma za kuhamisha fedha kwa njia ya mtandao ili kuwawezesha watanzania waishio nje ya nchi kutuma fedha moja kwa moja kuja kwa ndugu, jamaa na marafiki waishio Tanzania kwa kupitia simu zao za smartphone, tablets na tarakilishi.
Akitangaza wakati wa uzinduzi huo leo jijini Dar es Salaam, Mkuu wa huduma ya kifedha wa simu za mkononi za Tigo...
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Watanzania wengi wanamiliki hisa
10 years ago
Michuzi17 Jul
Rais Kikwete azungumza na Watanzania waishio Uswisi
![k](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/k3.jpg)
![mail.google.com9](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/mail.google.com9_.jpg)
![j](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/j2.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa ofisi ya mwakilishi wa kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa Geneva jana baada ya kuzungumza nao na kisha kupata futari katika Hoteli ya Intercontinental jijini Geneva ...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MmqlyopQW0w/U1bLyEib1zI/AAAAAAAFcZQ/lPxVNDdXf8E/s72-c/unnamed+(50).jpg)
JUMUIYA YA WATANZANIA WAISHIO GENEVA-USWISI (TAS) WATOA MSAADA KWA WATOTO WENYE MAHITAJI
9 years ago
Habarileo20 Aug
Fedha hainunui Watanzania -JK
MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema ujivuni wa fedha sio mali kitu, kwani mtu anaweza kununua watu wachache kwa tamaa na njaa zao, lakini hawezi kukinunua chama chote.
10 years ago
Habarileo09 Feb
Watanzania waonywa urais wa fedha, udini
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amewataka Watanzania kuwapuuza wanasiasa wenye kutaka kutumia fedha, dini, ukabila na aina yoyote ya ubaguzi kujijengea uhalali na kuombea kura katika uchaguzi mkuu ujao.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Kulikoni Watanzania tudharau fedha yetu
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Utafiti: Watanzania wengi wanatunza fedha nyumbani