Kulikoni Watanzania tudharau fedha yetu
Bado hainiingii akilini kuona Tanzania inaendelea kujali zaidi noti au fedha za kigeni. Inashangaza kuona tunashindwa kuthamini shilingi yetu, badala yake tunashabikia matumizi holela ya fedha za Marekani ambayo kwa sasa ni kawaida kuona ikitumiwa hata katika baadhi ya Baa na Migahawa nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWATANZANIA TUTAMBUE AMANI YETU NI FAHARI YETU.
10 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi31 Dec
Tupende na tuuenzi utamaduni na asili yetu watanzania
TEMBELEA LIBENEKE LAO KWA KUBOFYA LIKI HIYO
www.akomungoma.co.tz
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Amani yetu ni tunu adhimu baraka na fanaka, tuilinde Watanzania wote!
10 years ago
Dewji Blog25 Oct
Modewjiblog: Tunawatakia upigaji kura mwema Watanzania wote, Amani yetu, Taifa letu !
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[HARARE-ZIMBABWE]
Jumapili ya leo Oktoba 25, 2015, Taifa la Tanzania linafanya Uchaguzi Mkuu wa madiwani, wabunge pamoja na kumpata Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hatua ambayo wananchi watapiga kura ya NDIO kwa mgombea wanayemtaka wao. Kwa kuzingatia amani na utulivu wetu, Mtandao wa Modewjiblog inaungana na Watanzania wote popote walipo kutakia kila lakheri katika siku hii muhimu na ya kihistoria ambayo utokea mara moja kila...
11 years ago
Michuzi.jpg)
WATANZANIA MNAKARIBISHWA KUHUDHURIA IBADA NA SHEREHE YA KUSIMIKWA {ORDINATION} KWA NDUGU YETU MOSES SHONGA JIJINI LONDON
.jpg)
Sherehe itaanza saa nane mchana (2.00pm) na kufuatia na sherehe pamoja na vyakula na vinywaji baada ya ibada. Nyote mnakaribishwa.
Anuani ni: St Anne’s Lutheran church St Mary at Hill church
Lovat lane Eastcheap London EC3R 8EE
Kituo cha karibu ni monument tube station.
Mnakaribishwa.
10 years ago
Vijimambo
MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA

Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
10 years ago
Habarileo20 Aug
Fedha hainunui Watanzania -JK
MWENYEKITI wa CCM, Rais Jakaya Kikwete amesema ujivuni wa fedha sio mali kitu, kwani mtu anaweza kununua watu wachache kwa tamaa na njaa zao, lakini hawezi kukinunua chama chote.
10 years ago
Dewji Blog06 Jan
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10