WATANZANIA MNAKARIBISHWA KUHUDHURIA IBADA NA SHEREHE YA KUSIMIKWA {ORDINATION} KWA NDUGU YETU MOSES SHONGA JIJINI LONDON
![](http://4.bp.blogspot.com/-N-Vrm5bX074/UwZlmn4ohaI/AAAAAAAFOcg/4-2MPVrsxdc/s72-c/unnamed+(69).jpg)
Usharika wa St Anne’s Lutheran church unapenda kuwakaribisha wote kwenye ibada na sherehe ya kusimikwa (ordination) kuwa Mchungaji ndugu yetu Moses Shonga (pichani).
Sherehe itaanza saa nane mchana (2.00pm) na kufuatia na sherehe pamoja na vyakula na vinywaji baada ya ibada. Nyote mnakaribishwa.
Anuani ni: St Anne’s Lutheran church St Mary at Hill church
Lovat lane Eastcheap London EC3R 8EE
Kituo cha karibu ni monument tube station.
Mnakaribishwa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s72-c/unnamed+(18).jpg)
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y-YDPOkQFC4/U3owcuNYOJI/AAAAAAAFjs0/PfpuBbRPCaQ/s1600/unnamed+(18).jpg)
TAFAKARI: Neno la leo ni mtihani mkubwa sana manake Bwana Yesu anatuamuru kuwa tuwapende maadui zetu na kuwaombea wale ambao wanatuonea. Kiubinadamu ni kawaida kutaka kulipiza mabaya kwa mabaya. Hiyo ndiyo asili yetu. Lakini sisi Wakristo tunatakiwa maisha yetu yawe ni...
11 years ago
Michuzi16 May
Ibada Maalum ya Miaka Mitano ya Ibada ya Kiswahili na Kusimikwa Mchungaji Ipyana Mwakabonga - Juni 1, 2014 Kuanzia 3:30pm
![](https://1.bp.blogspot.com/-mOass4AqaZU/U2d7Y1z3-_I/AAAAAAAAAW4/n6Llkx8IWnw/s1600/IYK_Swahili_Invitation_5yr.jpg)
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
11 years ago
CloudsFM29 May
AY NA FRAVIANA MATATA WALIVYOUNGANA NA WATANZANIA KATIKA IBADA YA MIAKA KUMI NA NANE YA KUZAMA KWA MELI YA MV BUKOBA JIJINI MWANZA.
Miss Universe Tanzania 2007 na mwanamitindo wa kimataifa Flaviana Matata pamoja na msanii wa bongo fleva,Ambwene Yesaya'AY' siku ya jana walijumuika na wananchi wengine mkoani Mwanza katika Ibada maalum ya kuadhimisha siku ya kumbukumbu ya kuwaombea marehemu waliopoteza maisha yao baada ya kuzama kwa meli ya Mv Bukoba miaka 18 iliyopita.
Flaviana Matata, ambaye anafanyia shughuli zake nchini Uingereza na Marekani ni mmoja wa watu waliopoteza ndugu zao kwenye ajali hiyo. Yeye alimpoteza mama...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s72-c/unnamed.jpg)
MSIBA BRONX NEW YORK NA TANZANIA NDUGU WATANZANIA TUNAOMBA MICHANGO YENU HILI TUWEZE KUMPUMZISHA BABA YETU MPENDWA
![](http://1.bp.blogspot.com/-T2kd8Glq57s/VX2Ym1_YckI/AAAAAAADrTY/tQQhf9Kzdis/s320/unnamed.jpg)
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi. Marehemu ameacha Mke na watoto 7. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s72-c/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s640/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDdsxYglmTo/VoKf-lSSRuI/AAAAAAAIPPM/UzaXAgauK4k/s640/52344bfa-79bf-4c2c-bcd1-62d672551848.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g32HsUAyi7A/VoKgHqGUogI/AAAAAAAIPPs/idRj1rN3bJY/s640/fa16f618-cdcb-4b34-b480-3235f9e6a7cd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhuCsXUAp9U/VoKgRd0MkwI/AAAAAAAIPP4/_SFVJArNzP0/s640/36b95cdb-22ab-4bff-8633-9c1209814e95.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-55x2VcdEGko/VZp5m0JLdYI/AAAAAAAHnSk/kTOYoM1RfUM/s72-c/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
IGP AHUDHURIA IBADA YA KUSIMIKWA ASKOFU WA KATOLIKI SINGIDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-55x2VcdEGko/VZp5m0JLdYI/AAAAAAAHnSk/kTOYoM1RfUM/s640/unnamed%2B%252845%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zc-it9TTa70/VZp5nbqH1II/AAAAAAAHnSo/VSW-GJHFkkw/s640/unnamed%2B%252846%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-4quQj03hhBs/U3ycGMVdYJI/AAAAAAAADxc/bST-ZiAiwQs/s72-c/logo%2Bcopy.jpg)
WOTE MNAKARIBISHWA KWENYE SHEREHE ZA EID - AL-HAJJ HAPA DMV
![](http://1.bp.blogspot.com/-4quQj03hhBs/U3ycGMVdYJI/AAAAAAAADxc/bST-ZiAiwQs/s1600/logo%2Bcopy.jpg)
Jumuiya ya Waislamu ya Washington DC (TAMCO), Inapenda kuwatangazia kwamba sherehe za Eid El Hajj zitafanyika siku ya Jumamosi, October 4th, 2014. Kuanzia saa nane mchana mpaka saa tatu usiku . (2PM-9PM)
Anuani ni kama ifuatavyo;
Quince Orchard Valley Neighborhood park12015 Suffolk Terrace, Gaithersburg, MD 20878.
Tunawaomba WATANZANIA WOTE tujumuike pamoja na familia zetu katika kusherehekea siku hii tukufu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lmJR6vgelnc/U9FEFNMz6XI/AAAAAAAAEG8/_d4SMiwwjQ4/s1600/tamco%2B3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s72-c/unnamed%2B(11).jpg)
JK ahudhuria ibada ya kusimikwa askofu Mpya wa Jimbo Katoliki Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu
![](http://4.bp.blogspot.com/-a2RG-jS2I9k/VSq4gg4iU7I/AAAAAAAHQvg/7UGDlzDo4jU/s1600/unnamed%2B(11).jpg)