CCM imejali fedha za wagombea siyo demokrasia
Tangu Chama cha Mapinduzi (CCM) kilipofungua milango kwa makada wake wanaojiona wana sifa ya kuwania urais wakachukue fomu, wananchi wameshuhudia msururu mrefu wa makada hao wakitangaza nia kwenye mikutano ya hadhara na pili wakichukua fomu za udhamini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Demokrasia iwe kwa wote, siyo matajiri pekee
9 years ago
Mwananchi14 Oct
MCHANGO WA MAWAZO: Tujadili matatizo ya Taifa letu, siyo wagombea
10 years ago
Mwananchi15 Dec
‘Ukimwi siyo mradi wa kujivunia fedha’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoZhZqqxuq33m3wpti294p6QdDZ*1YVV41YoWrF5Jr0ngwrTBAga0GQgSfU36mU949voXFwOx1HFqS5w9irC634/zachembe.jpg?width=650)
WOLPER, KUWAJALI WAZAZI SIYO FEDHA
10 years ago
Vijimambo11 Feb
Mkuya: Siyo kosa Watanzania kuweka fedha Uswisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Mkuya-11Feb2015.jpg)
“Sisi hatujaona kama ni kosa kwa Watanzania kuwekeza fedha zao kwenye mabenki ya nje na wala isionekane kama ni jambo haramu kabisa.
Kama serikali tungetamani wawekeze kwenye benki nchini ili kukuza sekta ya fedha lakini pia hatuwafungi kutowekeza nje,” alisema.
“Tunachofanya ni kuiangalia hiyo ripoti ili kujua ukweli wa taarifa hizo, lakini taarifa hiyo haimaanishi kwamba ni kosa kubwa...
10 years ago
Tanzania Daima22 Oct
CCM na ubakaji wa demokrasia
DODODMA, uliteuliwa mwaka 1972 kuwa makao makuu ya chama na serikali enzi za chama cha ukombozi; yaani, Tanganyika Africans National Union (TANU) na baadaye Chama Cha Mapinduzi (CCM). Tangu hapo,...
10 years ago
Habarileo12 Aug
‘Epukeni wagombea wenye kutoa fedha’
WATANZANIA wametakiwa kujihadhari na wanasiasa wanaowania urais, ubunge na udiwani kwa kutumia fedha ili kuepusha taifa kuongozwa na watu wenye nguvu za fedha, badala ya kusimamia Katiba ya nchi.
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s72-c/1.jpg)
CCM ZANZIBAR WAZINDUA KAMPENI ZAO UWANJA WA DEMOKRASIA KIBANDA MAITI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wFMeLa6Cl_E/VfWk7mN7f0I/AAAAAAAD7DI/gbVIm7klNwE/s640/2.jpg)
9 years ago
Bongo Movies09 Sep
Aunt ezekiel: Nimezaliwa Kisarawe, Siyo CCM
STAA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ amewajia juu wanaomsema kuwa amekikacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukimbilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa hajazaliwa na chama hicho bali amezaliwa Kisarawe.
Akiendelea kucharuka mbele ya Amani, Aunt alisema kuwa hata kama huko alipo wakishindwa atakubali matokeo kwa kuwa lazima katika mchezo kuna upande utashinda na mwingine utashindwa hivyo atakubali yote.
“Ninachojua mwisho wa siku lazima kuna mshindi na mshindwa...