Waliokula fedha za ebola kusakwa S Leone
Msemaji wa serikali (Abdulai Bayraytay) aliiambia BBC kuwa yeyote ambaye atapatikana kuhusika kwenye ufisadi huo atakabiliwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper31 Jul
Waliokula fedha za WAZAZI matatani
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
JUMUIA ya Wazazi Tanzania, imeahidi kupeleka timu ya wakaguzi wa hesabu ili kubaini chanzo cha madeni yanayoikabili Shule ya Sekondari ya Leguruki, mkoani hapa.
Madeni hayo yanatokana na na baadhi ya watumishi waliojinufaisha na fedha za shule hiyo na kisha kutoroka na kuiacha ikiwa na madeni lukuki.
Katibu wa Wazazi Mkoa wa Arusha, Daniel Mgaya, alisema tayari makao makuu ya jumuia wameshakubali kutuma timu hiyo baada ya kumalizika kwa sikukuu ya Idd el Fitri....
9 years ago
Habarileo11 Dec
RC aagiza waliokula fedha za Tasaf wakamatwe
MKUU wa Mkoa wa Tabora, Ludovick Mwananzila amemwagiza Kamanda wa Polisi Wilaya ya Igunga, Abedi Maige kuwakamata baadhi ya watendaji wa vijiji waliohusika kula fedha za Mradi wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) kunusuru kaya masikini Awamu ya Tatu.
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency
New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery
The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.
The...
11 years ago
BBC
S Leone declares Ebola emergency
11 years ago
BBCSwahili09 Oct
Ebola:TZ yapeleka wauguzi S.Leone
11 years ago
BBC
Sierra Leone 'humiliated' by Ebola
9 years ago
BBCSwahili07 Nov
WHO:Sierra Leone haina Ebola
11 years ago
BBC
Ebola 'increasing' in Sierra Leone
10 years ago
BBC
Sierra Leone in Ebola lockdown