Katibu Wazazi mbaroni kwa fedha za Saccos
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia Katibu wa Jumuiya ya Wazazi wilayani ya Handeni mkoani Tanga, Ali Balo kwa tuhuma za upotevu wa zaidi ya Sh milioni 7 za chama cha akiba na mikopo (SACCOS) cha jumuiya hiyo wilayani Siha mkoani hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kvaB8NyngNM/UwtSapZhYfI/AAAAAAAFPQo/aFes58qOeUg/s72-c/unnamed+(23).jpg)
Viongozi wapya wa Ikulu SACCOS Wakabidhi Ripoty ya Utendaji kwa Katibu mkuu kiongozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-kvaB8NyngNM/UwtSapZhYfI/AAAAAAAFPQo/aFes58qOeUg/s1600/unnamed+(23).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMigncMpgxU/UwtSaij3VOI/AAAAAAAFPQk/6_UCfKMK1wM/s1600/unnamed+(22).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
Wazazi Geita mbaroni kwa kutopeleka watoto shule
WAZAZI watano mkoani Geita wamekamatwa na Polisi kwa kugoma kuwapeleka watoto wao shule na kuwalazimisha kuwaoza. Hatua hiyo inatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Saisi Magalula, la...
9 years ago
Habarileo09 Dec
Katibu afya Singida mbaroni kwa wizi
POLISI mkoani Singida inamshikilia Katibu wa Afya wa Wilaya ya Mkalama, James Ndimbo kwa tuhuma ya wizi wa Sh milioni sita akiwa mtumishi wa umma.
10 years ago
Mwananchi26 Mar
Askari wawili mbaroni kwa fedha bandia
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Vigogo Barclays mbaroni kwa wizi wa fedha
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-31P3tVn6PYE/XrlX50EQpfI/AAAAAAALpzU/SF_bKWEI5_scp7L9qwpYquSzoZpEQ1Z-ACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B4.43.50%2BPM.jpeg)
MWANAMKE MBARONI KWA TUHUMA ZA UTEKAJI NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-31P3tVn6PYE/XrlX50EQpfI/AAAAAAALpzU/SF_bKWEI5_scp7L9qwpYquSzoZpEQ1Z-ACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-05-11%2Bat%2B4.43.50%2BPM.jpeg)
Washtakiwa hao ambao wamesomewa mashtaka yao leo Mei 11, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Rashid Chaungu wanadaiwa kuwa, kati ya Machi 1 na 31, 2020 katika maeneo tofauti Jiji la Dar es Salaam, kwa makusudi waliongoza genge la uhalifu kwa lengo la kujipatia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-MGHVUHAzLFs/VPbkrpELQgI/AAAAAAAHHi0/21fimb8AMHw/s72-c/s1.jpg)
KATIBU MKUU KIONGOZI AFURAHISHWA NA UWEPO WA SACCOS MAKAZINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-MGHVUHAzLFs/VPbkrpELQgI/AAAAAAAHHi0/21fimb8AMHw/s1600/s1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-settgvVSxuc/VPbkrjTiXXI/AAAAAAAHHi4/g166YYqMsNc/s1600/s2.jpg)
5 years ago
MichuziTAKUKURU ARUMERU YAOKOA MAMILIONI YA FEDHA ZA SACCOS
Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Arusha Frida Weresi akizungumza na waandishi wa habari juu ya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya ushirika AMCOS na SACCOS Mkoani Arusha.
Na.Vero Ignatus,Arusha
Taasisi ya kupambana na Rushwa mkoani Arusha Takukuru imeendelea kufanya chunguzi mbalimbali zinazohusiana na vyama vya Ushirika (AMCOS na SACCOS) kutokana na malalamiko wanayoyapokea kutoka katika vyanzo mbalimbali na ubadhirifu unaofanywa na baadhi ya viongozi na wanachana hivyo kupelekea baadhi...