Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi wajihadhari na matangazo ya shule

Kipindi cha Oktoba hadi Desemba kila mwaka, wazazi na walezi wengi huanza kuhaha wakitafuta shule kwa ajili ya watoto wao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Wakuu 15 shule za wazazi matatani

Wakuu wa shule 15 zinazomilikiwa na Jumuiya ya Wazazi ya CCM, wako hatarini kuburuzwa mahakamani kutokana na tuhuma za ubadhirifu.

 

9 years ago

Habarileo

Wamiliki wa shule wawapoza wazazi

WAMILIKI wa shule binafsi nchini wamesema shule zitafunguliwa kama kawaida mwakani na wamewataka wazazi wa wanafunzi kuondoa hofu, iliyosababishwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kwamba hazitafunguliwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi tuzitathmini shule za watoto wetu

Naomba kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya Krismasi na maandalizi mema ya kuupokea mwaka ujao wa 2015 kwa wote watakaobahatika kuufikia. Tumwombe Mungu mwenye kuumiliki uhai wetu atupe upendeo wa kuufikia mwaka huo.

 

10 years ago

Michuzi

WAZAZI WACHANGIA SHULE YA UFUNDI IFUNDA

 Mdau wa maendeleo, Jackson Kiswaga (mwenye skafu) akiwakabidhi moja ya mabati 50 wanafunzi wa shule ya sekondari ya Ufundi ya Ifunda kwa ajili ya ukarabati wa jengo la taaluma na nidhamu lilounguamwaka 2013 katika shule hiyo.(picha na Denis Mlowe).
 Mkurugenzi wa Tigo Nyanda za Juu Kusini Jackson Kiswaga akizungumza wanafunzi na wazazi wa shule ya shule ya sekondari ya Ufundi ya Ifunda.  Mkurugenzi wa Tigo Nyanda za Juu Kusini Jackson Kiswaga akikabidhi cheti kwa mhitimu wa shule ya shule...

 

10 years ago

GPL

WAZAZI WALALAMIKIA MICHANGO SHULE MSIMBAZI MSETO

Sehemu ya geti la Shule ya Msingi Msimbazi Mseto. BAADHI ya wazazi wenye watoto wanaosoma  Shule ya Msingi Msimbazi Mseto jijini Dar es Salaam wamelalamika  michango mingi shuleni hapo wakati hali yao ya maisha ni duni kwa kipato. Akizungumza na mtandao huu, mwenyekiti wa shule hiyo iliyoko Msimbazi Centre, jijini Dar e Salaam, January Lwambano,  alisema  utaratibu ulioko wa michango ni wa miaka minane na mara nyingi...

 

10 years ago

Mwananchi

Walimu wageuka wazazi Shule ya Msingi Mapambano

Shule ya Msingi Mapambano imetimiza miaka 35 tangu ilipoanza, ikiwa na wanafunzi 150 na walimu watano. Kwa sasa ina wanafunzi 403 na walimu 22.

 

9 years ago

StarTV

Wazazi, walezi waagizwa kupeleka watoto shule

 

Serikali imewaagiza wazazi na walezi mkoani Tabora kuwapeleka shule watoto wote wenye umri wa kwenda shule kwa kuwa hakuna pingamizi lolote baada ya Serikali kubeba jukumu la kulipia ada na michango mingine kuanzia elimu ya msingi hadi sekondari.

Akizungumza na wakazi wa kijiji cha Kapunze Kata ya Ikomwa Manispaa ya Tabora, Mkuu wa mkoa huo Ludovick Mwananzila amesema Serikali imezitambua kaya masikini na kuzipatia ruzuku inayowezesha kuwahudumia watoto wao na kuongeza mahudhurio...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Polisi waingilia vurugu za wazazi shule ya Miembeni

JESHI la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, jana limelazimika kutumia nguvu kutuliza vurugu baada ya wazazi kuwavamia walimu wa Shule ya Msingi Miembeni, Vingunguti jijini Dar es Salaam. Chanzo cha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi Geita mbaroni kwa kutopeleka watoto shule

WAZAZI watano mkoani Geita wamekamatwa na Polisi kwa kugoma kuwapeleka watoto wao shule na kuwalazimisha kuwaoza. Hatua hiyo inatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Saisi Magalula, la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani