Wamiliki wa shule wawapoza wazazi
WAMILIKI wa shule binafsi nchini wamesema shule zitafunguliwa kama kawaida mwakani na wamewataka wazazi wa wanafunzi kuondoa hofu, iliyosababishwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kwamba hazitafunguliwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Mar
Wamiliki wa shule wapongeza Serikali
CHAMA cha Wamiliki wa Shule na Vyuo Binafsi nchini (TAMONGSCO), kimeeleza kufurahishwa na ushirikiano unaoendelea baina yake na Serikali.
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Wamiliki shule binafsi wafukuzana
Na Samwel Mwanga, Dar es Salaam
UMOJA wa Wamiliki na Mameneja wa Taasisi Binafsi za Elimu Tanzania (Tamongsco) umetangaza kumfukuza kazi Katibu Mkuu wake Benjamin Nkoya akidaiwa kukosa sifa ya kushika wadhifa huo.
Kwa mujibu wa barua ya Oktoba 20, mwaka huu iliyoandikwa na Katibu Mkuu wa Tamongsco Kanda ya Dar es Salaam, Kachwamba Aboubakar, licha ya Nkoya kuwa kiongozi wa taasisi hiyo kwa muda mrefu, lakini hajawahi kulipa ada ya uanachama kwa miaka mitano kinyume cha katiba yao ibara ya...
9 years ago
Mtanzania08 Dec
Wamiliki shule binafsi waendelea kubanwa
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
SERIKALI imetoa wiki mbili kwa wamiliki wa shule za binafsi kuhakikisha wanawasilisha vibali vya ada wanazotoza hivi sasa na watakaokiuka agizo hilo watachukuliwa hatua za kinidhamu.
Pia imewataka wamiliki wa shule hizo kutoongeza ada kwa mwaka wa masomo unaoanzia Januari, 2016 hadi watakapopata maelekezo kutoka kwa Kamishna wa Elimu.
Akizungumza na MTANZANIA jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Habari wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Oliver Kato...
10 years ago
Mwananchi23 Dec
Wazazi wajihadhari na matangazo ya shule
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Wakuu 15 shule za wazazi matatani
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Wazazi tuzitathmini shule za watoto wetu
10 years ago
MichuziWAZAZI WACHANGIA SHULE YA UFUNDI IFUNDA
10 years ago
GPLWAZAZI WALALAMIKIA MICHANGO SHULE MSIMBAZI MSETO
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Polisi waingilia vurugu za wazazi shule ya Miembeni
JESHI la Polisi Mkoa wa kipolisi Ilala, jana limelazimika kutumia nguvu kutuliza vurugu baada ya wazazi kuwavamia walimu wa Shule ya Msingi Miembeni, Vingunguti jijini Dar es Salaam. Chanzo cha...